Maalim Sharif Seif Hamad "No comment"

Maalim Sharif Seif Hamad "No comment"

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
12246761_166155803736889_6535210359677755583_n.jpg
 
Ndio Raisi anavyopaswa kuwa. Akisha kuwa Raisi wa watu wote pia ni muhimu na kuheshimu dini zote.
 
naona leo Mr Chin kaamua kuweka silaha chini ameona kua moto wa huyu jamaa ni hatari..

Huyu ndio raisi wa zanzibar SAWASAWA
 
Last edited by a moderator:
Ni swala la muda tutajuwa mbichi zipi na mbivu zipi. Ila nilazima tujiandae kisaikolojia Rais anaandaliwa pia vyombo vya serikal za juu vina muidhinisha.
 
Sawasawa! Huyu ndio rais wa nchi pendwa ya Zanzibar. Kwa Seif naiona Zanzibar huru yenye mamlaka kamili sio hii ya wakoloni weusi wa Tanganyika
 
vipi alikuwa ana apishwa ...??


[QUOT

E=Mr Chin;14642229]
12246761_166155803736889_6535210359677755583_n.jpg
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom