- Thread starter
- #21
Huyo hata akiombewa na wachungaji Milioni moja, hato upata Urais kama rafiki yake Lowassa.Nnaona anawekwa sawasawa.
Huyo hata akiombewa na wachungaji Milioni moja, hato upata Urais kama rafiki yake Lowassa.Nnaona anawekwa sawasawa.
Huyo Ikulu asubiri kualikwa kunywa Ghahawa tu, hana chake.Raisi wa wananchi wa Zanzibar
Mimi ninaonyesha jinsi Maalim alivyo mroho wa madaraka mpaka kuita Mapadri wamuombee. Yaani hana hata aibu.
Huyo hata akiombewa na wachungaji Milioni moja, hato upata Urais kama rafiki yake Lowassa.
Kwa kudhulumiwa na kuibiwa ??kamwulize Gadaffi na Hosni Mubarak nguvu ya wananchi ni kubwa kuliko vifaru vilivyotumwa Zanzibar
Kumwombea mtu ni uroho wa madaraka ??? Hivi nyie wafuasi wa ccm mmelishwa nini ??
Yaap ni uroho wa madaraka. Kwanini asimuule Mwenyezi Mungu kama atakuwa Rais au hatokuwa Rais? Huyo jamaa ni mnafiki na mroho wa madraka kama yule EL.
Wakati anaapishwa magufuli yule sheikh ,askofu na cardinali walienda kufanya nini ???
El angekua mnafiki na mroho wa madaraka unafikiri sasa hivi ungekua hapa jamii forum unahoroja ,punguani wahed wewe
Huyo ndie lais wa znz na pemba
Na kama hutaki shauli yako
Kumwombea mtu ni uroho wa madaraka ??? Hivi nyie wafuasi wa ccm mmelishwa nini ??