Maalim Sharif Seif Hamad "No comment"

Maalim Sharif Seif Hamad "No comment"

Yaap ni uroho wa madaraka. Kwanini asimuule Mwenyezi Mungu kama atakuwa Rais au hatokuwa Rais? Huyo jamaa ni mnafiki na mroho wa madraka kama yule EL.

hii ndio shida ya kua na watoto wanaojifunza siasa

ni utoto tu ukikua utaacha
 
Yaap ni uroho wa madaraka. Kwanini asimuule Mwenyezi Mungu kama atakuwa Rais au hatokuwa Rais? Huyo jamaa ni mnafiki na mroho wa madraka kama yule EL.

Siku zoote uwa comments zako zipo cheap sana,unajiweka chini kama H Polepole,si lazima kuanzisha thread kama hujui kitu.Kasome historia upya ndio utamjua Maalim Seif ni nani...Cheap analyst
 
Ok, lakini hapa tunamzungumzia Maalim Seif, rais mteule wa SMZ, Sawasawa?

Ulimteua wewe? Au unaota?

Subiri uchaguzi uje, ashinde kwanza halafu kabla ya kuapishwa utamuita upendavyo. Kwa sasa NO.
 
Back
Top Bottom