Maalim Seif: Zanzibar, Bara zipokezane urais

Maalim Seif: Zanzibar, Bara zipokezane urais

maalim seif anaota au yaan serikali ya muungano ipate raisi kutoka zanzibar kivipi wanataka waitawale zanzibar na tanganyika kwa wakati mmoja kwan zanzibar ina serikali yake raisi makamu wa raisi na ngazi zote za kiserikali lakn tanzania bara iliobeba jina la muungano ina rais na makamo wa rais kutoka zanzbar na ngaz nyingi za uongoz ni tunashare hii iko vp bwana yaan zanzbar nchi ndogo ila inatoa viongoz wengi kiasi hiki?? wale wanaotawala zanzbar yenyewe bila kuingiliwa na viongoz wa bala na wengine wanatawala bara huu upuzii tumeuchoka na cc tunataka tanganyika yetu ili tuwe na viongoz wetu kama vile zanzbar ilivyo kama ni kushare tutashare kwenye shirikisho hakuna muungano bila tanganyika tumeechoka bwana yaan zanzbar hata hailingan na mza lakn ndio inatawala tanzania kwa wingi wa viongoz wakati zanzbar kwao hawatoi nafas za uongoz kwa watu wa baraa??tumechoka na usheenz huu tunaitaka tanganyika yetu ukawa leteni maandamano haki hailetwi inatafutwa tuko tayari kufa kwa ajili ya tanganyka yetu....

Nyinyi kama mtarudia Tanganyika yenu sawa, lakini haiwezekani Muungano uwe wa pamoja rais miaka yote atoke bara ni sahihi kabisa sasa Rais atoke Zanzibar, nyinyi mtapata waziri Mkuu ndio kiongozi wenu atakayeiwakilisha bara
 
Wadau kwa kweli kwa sasa muungano wetu unapumulia mashine, ni jambo la busara sasa vyama vyote vya siasa kumsimamisha mgombea urais toka znz kwenye nafasi hiyo ili znz nayo itoe rais na muungano wetu uendeleee.

au wanasiasa wenzangu mnalionaje hili? maana mwalimu alipotoka akampa mznz, mznz akampa mbara mkapa. nashangaa kwa nini mkapa asingeshinikiza salmin awe rais maana haya malalamiko yasingekuwako.
hatujaungana nao ili watutawale. watu m 45 hatuwezi kupokezana urais na watu m 1. wana rais wao na serikali yao je watakua tayari kupokezana na watanganyika? chini ya mfumo wa sasa mzanzibari anaweza kugombea urais wa muungano akipendekezwa na chama chake. hawa jamaa wanapenda sana viti maalum. kuliko kupokezana urais kwa mfumo huu wa sasa bora kila mtu ashike njia yake.
 
Zanzibar iwe na marais wawili kwa kipindi kimoja halafu kipindi chote hicho Tanganyika ikiwa chini ya Zanzibar.Kipindi cha kudumisha fikra za mwenyekiti wa CCM kimepitwa na wakati.

Rais atakayetoka Zanzibar kuwa wa Muungano atafanya kazi na utendaji wa maeneo yote mawili bara na Zanzibar, Rais wa Zanzibar atabakia kuwa wa Zanzibar, Kwanini Rais wa Muungano amekuwa ndio wa Tanganyika miaka yote, haiwezekani Lazima sasa tunagalie na upande mwengine
 
Rais atakayetoka Zanzibar kuwa wa Muungano atafanya kazi na utendaji wa maeneo yote mawili bara na Zanzibar, Rais wa Zanzibar atabakia kuwa wa Zanzibar, Kwanini Rais wa Muungano amekuwa ndio wa Tanganyika miaka yote, haiwezekani Lazima sasa tunagalie na upande mwengine

Waziri mkuu pia atokee zanzibar,
 
hatujaungana nao ili watutawale. watu m 45 hatuwezi kupokezana urais na watu m 1. wana rais wao na serikali yao je watakua tayari kupokezana na watanganyika? chini ya mfumo wa sasa mzanzibari anaweza kugombea urais wa muungano akipendekezwa na chama chake. hawa jamaa wanapenda sana viti maalum. kuliko kupokezana urais kwa mfumo huu wa sasa bora kila mtu ashike njia yake.

Tatizo sio idadi ya watu tumesema muungano ni wa nchi 2 huru lazima kuwe na usawa. Burundi na Ruwanda wana wajumbe sawa kwenye umoja wa EAC ambapo Tanzania ina idadi ya mil45.
 
Huyu mzee keshachoka hadi akili,,awape vijana waiongoze cuf hana jipya...kwanza kesha kula sana akapumzike bana...

jenga hoja upangue hoja za maalim hapo juu siyo unakata mbuno tu na kuporoja poroja utaonekana kama unajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe
 
wajipange kwanza yeye na LIPUMBA kuwachia na wengine waongoze CUF.

Ivi JK kweli alijipanga? naona nchi ameirejesha 50 nyuma badala ya kuipeleka mbele tukatokana na hizi siasa za kivyama, akaleta maendeleo akaacha udikteta, ubeberu na baguzi wa kidini na chuki na hasama ndani ya jamii za watanzania
 
Hiyo sheria inafaa sana huko kwao Zanzibar kuwe na zamu ya wapemba na zamu ya waunguja.
 
Rais atakayetoka Zanzibar kuwa wa Muungano atafanya kazi na utendaji wa maeneo yote mawili bara na Zanzibar, Rais wa Zanzibar atabakia kuwa wa Zanzibar, Kwanini Rais wa Muungano amekuwa ndio wa Tanganyika miaka yote, haiwezekani Lazima sasa tunagalie na upande mwengine
Tutaangalia na upande mwingine wa Tanganyika kuwa na rais kama ilivyo kwa Zanzibar.Usiangalie muungano tu!
 
Mkuu unaijuwa vizuri Hong Kong? Kweli unatamani Zanzibar iwe vile? Madawa ya kulevya, Ulevi, kula vibudu, ukahaba etc




Hayo mambo ya ulevi ata huko Tz yapo pia kwa sana, hadi mtoto wa Rais huko inasemekana alienda kugombolewa na babake huko china. Nazungumzia Maendeleo soko la biashara watu mtoke nchi mbali mbali kufuata bidhaa bora Zanzibar
 
maalim seif anaota au yaan serikali ya muungano ipate raisi kutoka zanzibar kivipi wanataka waitawale zanzibar na tanganyika kwa wakati mmoja kwan zanzibar ina serikali yake raisi makamu wa raisi na ngazi zote za kiserikali lakn tanzania bara iliobeba jina la muungano ina rais na makamo wa rais kutoka zanzbar na ngaz nyingi za uongoz ni tunashare hii iko vp bwana yaan zanzbar nchi ndogo ila inatoa viongoz wengi kiasi hiki?? wale wanaotawala zanzbar yenyewe bila kuingiliwa na viongoz wa bala na wengine wanatawala bara huu upuzii tumeuchoka na cc tunataka tanganyika yetu ili tuwe na viongoz wetu kama vile zanzbar ilivyo kama ni kushare tutashare kwenye shirikisho hakuna muungano bila tanganyika tumeechoka bwana yaan zanzbar hata hailingan na mza lakn ndio inatawala tanzania kwa wingi wa viongoz wakati zanzbar kwao hawatoi nafas za uongoz kwa watu wa baraa??tumechoka na usheenz huu tunaitaka tanganyika yetu ukawa leteni maandamano haki hailetwi inatafutwa tuko tayari kufa kwa ajili ya tanganyka yetu....

Tanganyika imeitawala Zanzbar miaka mingap?? si mwaka wa 50 sasa ukitoa kipindi cha mzee Ali Hassan Mwinyi, sasa ni zamu yao waacheni wadai hoja zao zina mashiko
 
Hiyo sheria inafaa sana huko kwao Zanzibar kuwe na zamu ya wapemba na zamu ya waunguja.

mbona umeanza kujitekenya? Pemba tokea lini imekuwa nchi, vile visiwa asili yake ni nchi 1 ambavyo vinajulikana kwa jina 1 tu Zanzibar acha ubaguzi.
 
Hayo mambo ya ulevi ata huko Tz yapo pia kwa sana, hadi mtoto wa Rais huko inasemekana alienda kugombolewa na babake huko china. Nazungumzia Maendeleo soko la biashara watu mtoke nchi mbali mbali kufuata bidhaa bora Zanzibar

Aisee kumbe huijuwi Hong Kong........bora ungesema Dubai
 
Haya Ni maajabu. Yaani rais wa zanzbar awe m zanzbari. Rais wa Muungano nae awe m zanzbari. Watanganyika hapo wapo wapi? Tanganyika watakua maaboya kwelikweli Kama hiyo itatokea!
Huyo Maalim anachokoza maneno tu, hana lolote!
Mzanzibari hataki kutawaliwa na Watanganyika, kinachomfanya afikirie kuwa Tanganyika inawataka watawala wa Kizenji ni nini?
Gelesha tu hiyo ili kujenga hoja ya serikali tatu.

Yuko on record kudai Zanzibar ni nchi, sasa leo tuka-import watawala toka Zenj?
 
Rais atakayetoka Zanzibar kuwa wa Muungano atafanya kazi na utendaji wa maeneo yote mawili bara na Zanzibar, Rais wa Zanzibar atabakia kuwa wa Zanzibar, Kwanini Rais wa Muungano amekuwa ndio wa Tanganyika miaka yote, haiwezekani Lazima sasa tunagalie na upande mwengine

Kwa mjibu wa katiba ya Zanzibar rais wa muungano hana ubavu wa kumdhibiti rais wa Zanzibar pia hana ubavu wa kufanya chochote Zanzibar kama kuigawa Zanzibar kimikoa na kiwilaya.Zanzibar ni nchi jirani,vinginevyo Rais wa muungano akitaka kufanya chochote Zanzibar atalazimika kuipindua serekali ya Zanzibar kwa kutumia jeshi.
 
Maalim Seif Sharif
Hamad amesema kwa mfumo wa
muungano uliopo, ni vyema kila
upande ukawa unatoa rais kila baada
ya miaka 10.

Ina maana Maalim ameaafiki S2?
Huyu jamaa ni mroho wa madaraka maana kila anapofungua mdomo wake ni kugombea uongozi tu. Sasa kweli ikiwa tutapokezana nafasi ya Urais kuna haja gani ya kuwa na vyama vingi? Yaani kila baada ya miaka 10 vyama vilazimike kuchagua mgombea kutoka bara au visiwani akili kweli hiyo!. Kesho wataanza huko kwao mbona hatujapata rais - Mpemba!
Pumbavu kabisa,
 
Back
Top Bottom