Bobwe1
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 396
- 95
Huyu jamaa ni mroho wa madaraka maana kila anapofungua mdomo wake ni kugombea uongozi tu. Sasa kweli ikiwa tutapokezana nafasi ya Urais kuna haja gani ya kuwa na vyama vingi? Yaani kila baada ya miaka 10 vyama vilazimike kuchagua mgombea kutoka bara au visiwani akili kweli hiyo!. Kesho wataanza huko kwao mbona hatujapata rais - Mpemba!
Pumbavu kabisa,
Nafasi zote za juu kwenye serekali ya muungano wanatoka tanganyika sasa hapo nani mroho wa madaraka?au hamjui kuwa muungano ni wa nchi 2?nahisi wewe ndio pumbavu namba moja kuliko wote.