Maalim Seif Atinga Washington DC na ujumbe wake

Maalim Seif Atinga Washington DC na ujumbe wake

Mi siioni mantiki ya kukomalia "u-kuja na uzawa" ikiwa Zanzibar ni Nchi huru na kwa umoja wao wamekubali na kuruhusu democrasia itamalaki kama nyanja kuu ya kubadilishana madaraka na uongozi wa nchi.
Let democracy prevail.
Maamzi ya wananchi yaheshimiwe na vyombo vya dora visimamie amani pasipo mlengo wowote. Huko ndo kukomaa kisiasa na kustaarabika kwa wakaazi wa visiwa vya Zanzibar.
Kiini kikuu cha migogoro yote inayoendelea visiwani ni muungano wa Tanzania. Laiti kama Jamhuri ya Watu wa Zanzibar isingekuwa kwenye huu muungano, haya yote tusingeyasikia.
Nchi iliyopinduliwa haitakabidhiwa kwa kijikaratasi .
 
Nchi iliyopinduliwa haitakabidhiwa kwa kijikaratasi .
Lakini kiuhalisia asietaka kukabidhi madaraka hana credibility yoyote ya kuhodhi amani wala kuwaamulia wazanzibar yupi wa kuwatawala.
Shida inakuja pale Wazanzibar wenyewe wanapo baguana wao kwa wao...
 
Oman walikuja Zanzibar kwa minajili ya kuuondosha utawala wa mabavu na wa kikafiri wa kireno uliodumu takriban kuanzia 1503 - 1698. Kipindi chote na tarehe hizo walikuwepo watu wanaishi visiwa hivi wanaokuja kujuulikana kama wazanzibari.

Lakini hata kabla kuja Mreno kuvivamia visiwa hivi kulikuwa na utawala wa kijadi/kimila, uliokuwa unaongozwa na Malkia Mwana wa mwana, Mtumbatu na mumewe Mwarabu wa Yemen, na makazi yao yalikuwa ilipo Ngome Kongwe.

Walipovamia Wareno kuumaliza utawala wake, Mwana wa mwana alikimbilia Yemen pamoja na mumewe , na akaishi uhai wake wote.

Uislam Zanzibar ulianza karne ya nane ( 8th Century) na kila mtu alikuwa muumini wa dini hiyo. Watu waliotokana na kizazi hiki, pamoja na mimi ndio tunajinasibu na kujiita Washirazi wa Zanzibar na ndio wazawa. Ukiwa si mshirazi, haijalishi uwe mweupe, mweusi, unamachale na sio muislamu , wewe unakuwa ni wakuja tu
Ulichoelezea ni sawa Ila napenda kuongeza kuwa asili ya watu wa Tumbatu wametokea sehemu za Mwanza walikuja kama wavuvi ndo wakasettle hapo kwa ajili ya shughuli zao za uvuvi.
 
Nzuri, mpigieni makofi.Lakini ingekuwa "more factual and sensible" kama ungeandika na kutafakari baadae kama hivi:
" Mgeni aliotoka Oman 1698 akaja Zanzibar na kuzaliana sasa ndio pamekuwa kwake , na mwenyeji aliemkarabisha, ambapo Shirazi Association (1930) ndio chama cha wajukuu wa Mwinyimkuu, wao wenye nchi yao na African Association walikuja baada ya " Siti binti Saad" kuimba kwenye mapema 1900, kuwa " Zanzibar ni njema atakae aje" wanaitwa wakuja ambao wengi wao ni makuli wa bandarini kutoka bara na chimbuko la African Association"

Kisa cha kuhitalifiana Thabit Kombo wenzake Sheikh Ameoir Tajo na Moh'd Shamte ni kukubali muungano wa chama chao kiongozwe na " Mkuja" Karume, na wakaona hilo haliwezekani, wakajitoa kwenye chama cha ASP(1957) na kuunda chama chao ZPPP kilicho weza kuzaa uhuru mwaka 1963 N kutoa Waziri Mkuu wa kwanza mzawa Mo'hd Shamte.
Bara la Afrika kwa sehemu kubwa ni la waafrika weusi. Mwafrika provided yuko afrika hawezi kuwa mgeni kwa mwajemi aliyeko afrika.
 
Chuki na ubaguzi utawatesa sana wa zanzibar,wengi hawajielewi.Huwezi kuamia nchi na ukakaa kwa miaka zaidi ya mia moja vizazi vikachanganya damu na wenyeji alafu bado ukaona wewe ndio una haki ya ile sehemu kuliko wewe! This is realy sad.Na nahisi hata muungano ukivunjika hawa jamaa bado wataanzisha matatizo wao kwa wao.
 
Oman walikuja Zanzibar kwa minajili ya kuuondosha utawala wa mabavu na wa kikafiri wa kireno uliodumu takriban kuanzia 1503 - 1698. Kipindi chote na tarehe hizo walikuwepo watu wanaishi visiwa hivi wanaokuja kujuulikana kama wazanzibari.

Lakini hata kabla kuja Mreno kuvivamia visiwa hivi kulikuwa na utawala wa kijadi/kimila, uliokuwa unaongozwa na Malkia Mwana wa mwana, Mtumbatu na mumewe Mwarabu wa Yemen, na makazi yao yalikuwa ilipo Ngome Kongwe.

Walipovamia Wareno kuumaliza utawala wake, Mwana wa mwana alikimbilia Yemen pamoja na mumewe , na akaishi uhai wake wote.

Uislam Zanzibar ulianza karne ya nane ( 8th Century) na kila mtu alikuwa muumini wa dini hiyo. Watu waliotokana na kizazi hiki, pamoja na mimi ndio tunajinasibu na kujiita Washirazi wa Zanzibar na ndio wazawa. Ukiwa si mshirazi, haijalishi uwe mweupe, mweusi, unamachale na sio muislamu , wewe unakuwa ni wakuja tu
'Mtumbatu na mmewe mwarabu wa yemen' nakukariri,kutokana na maelezo yako wewe sio native wa zanzibar bali natives ni watu wenye asili ya TUMBATU.Mwaarabu popote alipoyoka ni mwamiaji hawezi kuwa native na vizazi vya huyo myemen na mtumbatu hawawezi kuwa 'washirazi wa zanzibar' sababu washirazi asili yao sio yemen bali ni iran (persians) kama sikosei.
Post yako imejaa hisia za ubaguzi,kumwita mtu wa kuja sababu ana machale au sio mwislamu sio ustaarabu,nahisi hata wewe una mchanganyiko wa damu.Kumbuka nchi walipotoka hao wayemen au persiana na nchi nyingi za arabuni kuna watu bao sio waislam na wanakubalika kama ni sehemu ya nchi,lakini wewe unawatenga !ndio maana struggle yenu haiwezi kuzaa matunda mna mawazo njia panda.ulimwengu unabadilika lakini wewe hubadiliki,you have a lot to learn and a long way to go.
 
Hii ni ziara muhimu sana!, kwa vile MCC wametunyima zile fedha kwa sababu ya kadhia ya uchaguzi huru na wa haki wa marudio Zanzibar, kulikopelekea CUF kuwekwa kando ndani ya SUK, then Wamarekani ni watu muhimu sana haswa kufuatia lile andiko la Balozi wao aliyekuwa Zanzibar ile 1964, hivyo angalau sasa CUF inaibua uwezekano wa kufadhiliwa na fedha za MCC, hivyo 2020 CUF ikishinda itapewa!. Miaka yote ya nyuma CUF inashinda na haipewi kufuatia taarifa za kiiteligensia za mfadhili mkuu wa CUF ni nani, kulikopelekea hata CUF ishinde vipi hakuna kupewa kufuatia hofu ya "he who pays the piper!", Wamarekani hatuna matatizo nao!, sio wale ...

Hivyo ziara hii ni muhimu sana, ila uchaguzi mwingine ni mpaka 2020 kwa sababu no one can do anything now!.

Pasco
Pasco acha undumilakuwili. Unaposema Wamarekani mnawaamini ila siyo wale..... unakusudia nini? Hii inathibitisha tu unafiki ulionao kwa CUF. Acheni hizo bwana, acheni kuingiza mambo yasiyofaa kwenye politics.
 
Nzuri, mpigieni makofi.Lakini ingekuwa "more factual and sensible" kama ungeandika na kutafakari baadae kama hivi:
" Mgeni aliotoka Oman 1698 akaja Zanzibar na kuzaliana sasa ndio pamekuwa kwake , na mwenyeji aliemkarabisha, ambapo Shirazi Association (1930) ndio chama cha wajukuu wa Mwinyimkuu, wao wenye nchi yao na African Association walikuja baada ya " Siti binti Saad" kuimba kwenye mapema 1900, kuwa " Zanzibar ni njema atakae aje" wanaitwa wakuja ambao wengi wao ni makuli wa bandarini kutoka bara na chimbuko la African Association"

Kisa cha kuhitalifiana Thabit Kombo wenzake Sheikh Ameoir Tajo na Moh'd Shamte ni kukubali muungano wa chama chao kiongozwe na " Mkuja" Karume, na wakaona hilo haliwezekani, wakajitoa kwenye chama cha ASP(1957) na kuunda chama chao ZPPP kilicho weza kuzaa uhuru mwaka 1963 N kutoa Waziri Mkuu wa kwanza mzawa Mo'hd Shamte.
peleka ujinga huko ! mbona hamuendi kudai Lamu na Bagamoyo !?
 
Kwa hiyo wakati wa oman walipofika zanzibar,walimkuta nami hapo kisiwani? au kulikuwa hakuna mtu? Sababu wengi wanaongelea waamiaji kutoka Oman na kutoka bara, je natives wa zanzibar ni nani??.
Hii hali ya kusema huyu kaamia mwaka flani na huyu kaja kama mtumwa ndio inawapa matatizo wa zanzibar miaka yote,kwa sababu huwezi kujenga nchi iwapo mnajiwekea matabaka!

Mwarabu kwao arabuni Na wamatumbi kwao afrika
 
Hii ni ziara muhimu sana!, kwa vile MCC wametunyima zile fedha kwa sababu ya kadhia ya uchaguzi huru na wa haki wa marudio Zanzibar, kulikopelekea CUF kuwekwa kando ndani ya SUK, then Wamarekani ni watu muhimu sana haswa kufuatia lile andiko la Balozi wao aliyekuwa Zanzibar ile 1964, hivyo angalau sasa CUF inaibua uwezekano wa kufadhiliwa na fedha za MCC, hivyo 2020 CUF ikishinda itapewa!. Miaka yote ya nyuma CUF inashinda na haipewi kufuatia taarifa za kiiteligensia za mfadhili mkuu wa CUF ni nani, kulikopelekea hata CUF ishinde vipi hakuna kupewa kufuatia hofu ya "he who pays the piper!", Wamarekani hatuna matatizo nao!, sio wale ...

Hivyo ziara hii ni muhimu sana, ila uchaguzi mwingine ni mpaka 2020 kwa sababu no one can do anything now!.

Pasco

What a thinking....
 
'Mtumbatu na mmewe mwarabu wa yemen' nakukariri,kutokana na maelezo yako wewe sio native wa zanzibar bali natives ni watu wenye asili ya TUMBATU.Mwaarabu popote alipoyoka ni mwamiaji hawezi kuwa native na vizazi vya huyo myemen na mtumbatu hawawezi kuwa 'washirazi wa zanzibar' sababu washirazi asili yao sio yemen bali ni iran (persians) kama sikosei.
Post yako imejaa hisia za ubaguzi,kumwita mtu wa kuja sababu ana machale au sio mwislamu sio ustaarabu,nahisi hata wewe una mchanganyiko wa damu.Kumbuka nchi walipotoka hao wayemen au persiana na nchi nyingi za arabuni kuna watu bao sio waislam na wanakubalika kama ni sehemu ya nchi,lakini wewe unawatenga !ndio maana struggle yenu haiwezi kuzaa matunda mna mawazo njia panda.ulimwengu unabadilika lakini wewe hubadiliki,you have a lot to learn and a long way to go.
Najua yamekuuma lakini huo ndio ukweli. Nilikuwa najibu hoja ya kuwa ASP ndio wazawa na walipokuja wa Oman nani walimkuta Zanzibar. Mimi najiringia na nakwenda kifua mbele Zanzibar kuwa mimi ni mzawa Mshirazi.

Mwislamu ana haki ya kuolewa na mtu yeyote ambae ni muislamu. Sikisema Washirazi kwao Yemen na haina maana ya Malkia kuwa na mume kutoka Yemen basi wafuasi wake wote watakuwa wayemen.

Nimemtafsiri nani mshirazi na hiyo ndio tafsiri yake.Nikikuuliza nani Mnyamwezi, ukaniambia mnyamwezi ni mtu aneishi Tabora, bara hana uhusiano na mndengereko wa Rufiji utakuwa mbaguzi.

Nimekueleza hali halisi ya Zanzibar " Islam is the most prominent religion on the island of Zanzibar. According to the CIA Factbook, more than 99% in the island are Muslim. The vast majority of Muslims in Zanzibar are Sunni Islam came to Zanzibar in the 8th century"

Waisalamu wazanzibar ni sunni na sio Shia kama Iran, sasa unapowapeleka washirazi kuwa asili yao persia hujui unakizungumza nini. Wazanzibari pamoja na Oman kuwepo kwa karne hawakuweza kubadilisha madhehebu yao na kufuata ya Oman yaani Ibadh.
 
Swadakta!, nimeipenda hii ya "wakuja", mgeni aliyetoka kwao Oman akaja Zanzibar na kuzaliana, sasa ndio Zanzibar pamekuwa kwake, na mwenyeji aliyemkaribisha, ambapo ASP ndicho chama cha wajukuu wa Mwinyimkuu, wao wenye nchi yao sasa ndio wanaitwa wakuja!.

Zanzibar sio kama Marekani, wageni watasubiri sana!.
Ila pia nashukuru kumbe watu hawawajui wafadhili wakuu wa CUF, wangewajua ndipo wangejua kwa nini CUF anashinda lakini hapewi!. Endelea kujifariji kuwa wafadhili ni hawa wageni wakaazi!, lila bango la maskani Kisonge limesema ukweli japo mchungu!, ndio ukweli wenyewe!.

Pasco
Ndugu naona post yako IPO kibaguzi zaid in hiz element za kibaguzi ni hatar kwa taiga lolote lile, na hasa kama mwenye element za ubaguzi akiwa kiongozi
 
1. INASTAABISHA, mtu mwenye sifa, maarifa, na mdadisi kama wewe mpaka leo humjui mfadhili wa CUF.

Mfadhili mkuu wa CUF ni wazanzibari wazawa, walioikataa ASP siku ya Ameir Tajo na Moh'd Shamte walipojiengua na chama hicho na kuunda ZPPP.

Waliikataa ASP kwasababu ya sera zake za kuwakumbatia "wakuja" na wataendelea kuikataa ASP ( CCM) hata itawale mfululizo kwa miaka hata 200 kama walivyotawala wareno, lakini haitaweza kuzibadilisha nyoyo za wazanzibari khusu kisiwa chao.

2. Kulikopelekea ishinde vipi hakuna kupewa: Kuna mtawala mwengine alioitia Zanzibar kwapani. Pamoja na kuwatumia wazanzibara na kutumia umwamba wake wa kubeba rocket launchers mabegani, na vifarui mitaani wakati wa kampeni na uchaguzi havikuweza kuteteresha imani ya wazanzibari wazawa juu ya chama na viongozi wanaowataka.

Mtawala huyu anaringia uwezo wa kijeshi wa (45:1) na Zanzibar inaringia uzalendo uliotukuka, ujasiri na ustahamilivu na uchamungu wa wazanzibari!
Mzanzibar mzawa ni yupi?halafu ndie awe mfadhili wa CUF?acha uongo,si useme tu CUF ni Oman hao ndio mfadhili wao.
 
Ndugu naona post yako IPO kibaguzi zaid in hiz element za kibaguzi ni hatar kwa taiga lolote lile, na hasa kama mwenye element za ubaguzi akiwa kiongozi
Pasco sie ndie mwenye element za kibaguzi bali wewe na jamaa zako wa Oman ndio wabaguzi ,ungetafakari kwanza lile bango la Kisonge ,halikubebwa na Pasco,bali lilibebwa na wana Zanzibari
 
Back
Top Bottom