Mundali
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 749
- 164
Siku zote mwizi humhisi kila aliye jirani yake kuwa ni mwizi, mbaguzi hudhani kila aliye karibu nae ni mbaguzi. Wazenjibar acheni ubaguzi, mkiwa bara mnadai muungano, kujenga maghorofa, biashara zisizolipiwa kodi na mambo kadha wa kadha, tukisema oooh wabaguzi. "MNAVYOCHOMA NYUMBA ZA WABARA HUKO KWENU NA KUWAPA SHIDA USIKU NA MCHANA SIO UBAGUZI?