Maalim Seif amakinike na Zitto

Maalim Seif amakinike na Zitto

Well observed, honestly speaking; I'm afraid CHADEMA will come to its senses when the situation is out of control and be just in records that it had once been the main opposition party in the country

Without any objections, probably 2020-2025 will be it's last chance of being main opposition party.

2025-2030 ain't for it.
 
Kuna baadhi ya watu humu, yaani you are Professors kwenye maswala haya ya kuchambua mambo ya kisiasa, yaani unasoma point mwanzo mpaka mwisho hadi unanyoosha mikono.


Jr
 
-
Zito hakuwahi kuisaliti CHADEMA. Huo ulikuwa ni uzushi wa wafuasi wa Mbowe ambao hawakupendezwa na kitendo cha Zito kutaka kugombea uenyekiti wa CHADEMA
Ukweli lazima usemwe na huu ndio ukweli.
 
Japo umezunguka sana lakini ni dhahiri ulichokusudia ni kuonesha uamuzi wa maalim kwenda ACT si sahihi maana Zitto si mpinzani wa kweli bali angeenda Chadema kwa maoni yako ndio wapinzani wa kweli sasa hayo ni mawazo yako tu na huna haki ya kumlazimisha kila mtu aone hivyo unavyoona wewe ndio sahihi hivyo huna haja wala haki ya kumnanga mtu asiyekubaliana na fikra zako
Unajua kusoma ni jambo la kwanza... Hili umefaulu halafu kusoma na uelewe kilichoandikwa hili ni jambo la pili... Ambalo umefeli halafu kusoma kisha uelewe halafu uandike uchambuzi ni kitu kingine pia ambacho pia umefeli kwahiyo kama ni maksi ungepata 1/3

Jr
 
Propaganda za siasa huwa zinafanikiwa sana kwetu wafuasi.

Chadema walimbania Zitto kugombea umwenyekiti mwaka 2009, wakamfukuza Kafulila kwa kushinda Bavicha 2008 kisa kwamba Zitto kaingilia uchaguzi.

Zitto akalazimishwa kuondoa jina 2009 tena kwa ushauri wa Mtei kwa kigezo cha kumwacha Mbowe amalize term zake 2, hivyo 2014 Zitto ndiyo agombee.

Baada ya kuondoa jina, vikatengenezwa vikundi vya kumshambulia Zitto, Kubenea na Mwanahalisi wakitumika, kina Yericko, Molemo, na timu yote ambayo ni wafuasi wa Mbowe wakatumika kumshambulia kila sehemu.

Kabla hatujashtuka tukaambiwa katiba ilibadilishwa kuondoa ukomo wa Mwenyekiti, kwamba anaweza kugombea mara nyingi kadri awezavyo. Tuliomba kujua ni kikao gani cha maamuzi kilipitisha hayo hatukupata, nakumbuka Dr Slaa aliahidi kuleta minutes za kikao hicho ila hakufanya hivyo. Mpaka leo Mbowe ni mwenyekiti wa maisha.

Zitto na timu yake baada ya kuona kwamba chama hakitakaa kitoke mikononi mwa Mbowe wakaja na Waraka waabadiliko, ikaondoka nao.

Tumeona Mbowe alichofanya kwenye kumleta Lowassa na kumkaanga Dr Slaa, sisi wafuasi pendwa wa CDM tukaambiwa eti Dr ni msaliti, na si kwamba wamemsaliti wao.

Ninachelea kusema kwamba Chadema kimeshafika ukomo wake, ni zamu ya ACT kuinjoi waliyokuwa wanayainjoi CDM.

Ingawa wapinzani wote wanaendeshwa na njaa na uroho wa Madaraka, mpaka sasa hakuna ambaye ana kaliba ya Dr Slaa kwa wapinzani wote Tanzania.
Mzee baba kumbe mpaka huku upo vizuri,
 
-
Zito hakuwahi kuisaliti CHADEMA. Huo ulikuwa ni uzushi wa wafuasi wa Mbowe ambao hawakupendezwa na kitendo cha Zito kutaka kugombea uenyekiti wa CHADEMA

Ukweli anaujua yeye. Lkn nachoamini Ni Kia sasa amekua.
 
Japo umezunguka sana lakini ni dhahiri ulichokusudia ni kuonesha uamuzi wa maalim kwenda ACT si sahihi maana Zitto si mpinzani wa kweli bali angeenda Chadema kwa maoni yako ndio wapinzani wa kweli sasa hayo ni mawazo yako tu na huna haki ya kumlazimisha kila mtu aone hivyo unavyoona wewe ndio sahihi hivyo huna haja wala haki ya kumnanga mtu asiyekubaliana na fikra zako
Binaadamu huwa tunapofushwa na mahaba hata kama utahadharishwe vipi hawezi kuona au kuelewa ni wapi alipokosa.
 
The nightmare of Zitto will haunt CHADEMA to the grave, if there won't be deliberate efforts to reconcile. CHADEMA should not feel ashamed to go to their knees and make peace with Zitto for the sake of opposition and health of democracy in the country, else they should leave him alone to pursue his goals as it pleases him
 
The nightmare of Zitto will haut CHADEMA to the grave, if there won't be deliberate efforts to reconcile. CHADEMA should not feel ashamed to go to their knees and make peace with Zitto for the sake of opposition and health of democracy in the country, else they should leave him alone to pursue his goals as it pleases him
Noted with thanks
 
The nightmare of Zitto will haunt CHADEMA to the grave, if there won't be deliberate efforts to reconcile. CHADEMA should not feel ashamed to go to their knees and make peace with Zitto for the sake of opposition and health of democracy in the country, else they should leave him alone to pursue his goals as it pleases him
Where did it haunt that big famous n feared party? Wote waliokitabiria CHADEMA kuwa kitakufa wamekufa wao... CHADEMA inachanja mbuga

Jr
 
Is this a reincarnation of the great CUF in the image of ACT?
The rise of politically dead Maalim Seif?

It is obvious that Maalim Seif took some rush, unwise, uncalculated decision in 2015 to announce himself as the winner of the Zanzibar General election for presidency.

Free minded, neutral observers will agree with me on this. Seif's unprecedented decission opened up an opportunity for Jecha to nullify all the polls results according to the laws. He gave him legitimacy to kill the vibes.

Had he(Seif) not acted that way there would be no room for Jecha and CCM to manoeuvre and overturn things in favour of CCM.

The indisight of the story has important lesson for us to learn. And that is Politicians must take advice from specialized persons who knows how to interpret laws and knows alot about mind games. In addition to that they should take those advice with a grain of salt and not believe/accept everythin like a gospel.

Thank God the world is in abundance of second chances, so here is your chance again Maalim Seif. Don't squander it, use it wisely.

Last but not least, Maalim na Zitto punguzeni kupenda ubinafsi na ukubwa wa madaraka na kuhodhi vyama kama mali binafsi, fanyeni kazi kitaasisi, sikilizeni wenzenu. Lipumba kafanikiwa kumvuruga Maalim Seif, na chadema walifanikiwa kumfukuza Zitto hayo yote ni kutokana na ninyi kupenda zaidi maslahi yenu kuliko ya chama au wanachama wote. Msipozingatia hili hapo mtakuwa mmekutana mafahali wawili ktk zizi moja la ACT.

TUKUTANE UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2019 NA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2020.
 
Where did it haunt that big famous n feared party? Wote waliokitabiria CHADEMA kuwa kitakufa wamekufa wao... CHADEMA inachanja mbuga

Jr
Hivi ni kweli changamoto zote na mivutano iliyomo ndani ya CHADEMA imetokana na usaliti wa Zitto. There's nowhere Zitto had ever spent his time accusing CHADEMA of anything through we all know all the bullies and humiliation Zitto had suffered because of CHADEMA. To date, every single step that Zitto undertakes to build his name, his reputation, his party CHADEMA fans endlessly are busy attempting to derail him. Why can't CHADEMA stand and fight against the big fish rather than attacking Zitto? This is an absolute truth that Zitto has been a potential threat to the hegemony of CHADEMA in opposition
 
Hivi ni kweli changamoto zote na mivutano iliyomo ndani ya CHADEMA imetokana na usaliti wa Zitto. There's nowhere Zitto had ever spent his time accusing CHADEMA of anything through we all know all the bullies and humiliation Zitto had suffered because of CHADEMA. To date, every single step that Zitto undertakes to build his name, his reputation, his party CHADEMA fans endlessly are busy attempting to derail him. Why can't CHADEMA stand and fight against the big fish rather than attacking Zitto? This is an absolute truth that Zitto has been a potential threat to the hegemony of CHADEMA in opposition
I don't think that there is anyone within CHADEMA who is trying 'hard' to derail The Kabwe guy... It was thought before if he quits n leave the party.. He will move with tremendous huge number of followers....
What happened is quite clearly seen today! Wakati ni hakimu mzuri
Wengi wakasema akiondoka CHADEMA itakufa ama itakosa viti vingi vya UBUNGE nk... Nini kimetokea Zitto alipata wangapi na CHADEMA wangapi?
Nimeeleza hulka yake kama unrealistic.. Ni mzuri wa hoja na kuwasilisha kile anachoamini but he is not firm.... Ni rahisi kuyumbishwa na hana misimamo thabiti... That's it!

Jr
 
Mbende mbende chali kifo cha mende ni cuf inakwenda kufa style hiyo, 2020 cuf itabaki na mwenyekiti ambaye kimsingi atafanana na mwenyekiti wa saccos iliyofilisika no
mbunge, no diwani, no hata mwenyekiti serikali ya mtaa duu siasa za mbeleko iliyochakaa mbebwaji ataangukia asikotegemea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbende mbende chali kifo cha mende ni cuf inakwenda kufa style hiyo, 2020 cuf itabaki na mwenyekiti ambaye kimsingi atafanana na mwenyekiti wa saccos iliyofilisika no
mbunge, no diwani, no hata mwenyekiti serikali ya mtaa duu siasa za mbeleko iliyochakaa mbebwaji ataangukia asikotegemea

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu

Jr
 
Back
Top Bottom