Maajabu yatokea Tanzania

Maajabu yatokea Tanzania

FORCE NAMBA

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
937
Reaction score
328
1. JPM ni Rais wa kwanza Tanzania kukusanya mapato mengi kwa muda mfupi
2. Ni Rais wa kwanza kusambaratisha mtandao wa wizi bandarini na kusambaratisha kundi la wanaojiita Mungu watu
3. Ni Rais wa kwanza kuhakikisha wagonjwa wanapata huduma bora Muhimbili
4. Rais wa kwanza kurudisha heshima ya watu waishio mjini hapa lazima tueshimiane kila mtu anakula kilicho sahihi
5. Ni Rais wa kwanza kuliongoza Taifa akiwa peke yake na wasaidizi 3 tu na nchi nzima ikatikisika je, akitangaza baraza la mawaziri hali itakuwaje!!!
 
Asante hapooo!!
1.Jpm ni Rais wa kwanza Tanzania kukusanya mapato mengi kwa muda mfupi
2.Ni Rais wa kwanza kusambaratisha mtandao wa wizi bandarini na kusambaratisha kundi la wanaojiita Mungu wat
3.Ni Rais wa kwanza kuhakikisha wagonjwa wanapata huduma bora muhimbil sa hivi ukifika pale wagojwa wanapewa shikamoo na wauguzi
4.Rais wa kwanza kurudisha heshima ya watu waishio mjini hapa lazima tueshimiane kila mtu anakula kilicho sahih
5.Ni Rais wa kwanza kuliongoza Taifa akiwa peke yake na wasaidizi 3 tu na nchi nzima ikatikisika je, akitangaza baraza la mawazir hali itakuwaje!!!
 
hakika mtu huyu ni mtu wa Mungu saa na wakati wa ukombozi kwa watanzania ufika sasa tufanye kazi kwa pamoja na kumpa ushirikiano mwisho wa siku nchi itakuwa safiii
 
1. JPM ni Rais wa kwanza Tanzania kukusanya mapato mengi kwa muda mfupi
2. Ni Rais wa kwanza kusambaratisha mtandao wa wizi bandarini na kusambaratisha kundi la wanaojiita Mungu watu
3. Ni Rais wa kwanza kuhakikisha wagonjwa wanapata huduma bora Muhimbili
4. Rais wa kwanza kurudisha heshima ya watu waishio mjini hapa lazima tueshimiane kila mtu anakula kilicho sahihi
5. Ni Rais wa kwanza kuliongoza Taifa akiwa peke yake na wasaidizi 3 tu na nchi nzima ikatikisika je, akitangaza baraza la mawaziri hali itakuwaje!!!
ni rais wa kwanza kupingwa na Wana CCM waliomchagua wenyewe wakiwemo marais wa zamani
 
Me sioni haja ya balaza la mawaziri mpaka sasa
 
Ana kazi kubwa sana kuteua baraza la mawaziri. Maana hao wabunge wa ccm ni MIZIGO mitupu. Mungu azid kumpa hekima, nguvu na afya tele.
 
Amekuwa mwiba mkali sana kwa ficiemu wanajuta kumfahamu tuko nyuma yako zamu yetu wanyonge nikiona habari yake inanivutia sana MTU Wa mungu kwakwel
 
Asante hapooo!!

Mkuu uko sahihi kabisa ila, kumbukua huo ni mwanzo tu kwani wagojwa tanzania hii hawako mhimbili tu.,, hospitali nyingi za wilaya wagonjwa wanalala chini na kukosa dawa. Hivyo tumuombee hii kazi iliyoinza iwe ni kama gia namba moja, hivyo aongeze gia zaidi ili tufike pale watanzania wanapopataka.
 
Huyu ndiye anastahili Uprofesori wa heshima, siyo wale wengine wanapewa ati kwakuwa wamewaneemesha wageni, binafsi naona Dr. Wine apewe heshima yake haraka mapemaaaa!!!
 
Tuiweke kwa namna hii. Rais wa kwanza kupingwa na chama chake kilichompigia kampeni na kukubaliwa na chama cha upinzani kilichosimama kumpinga kwenye upigaji kura.

Selema selema ... alija ..!
 
Back
Top Bottom