Maajabu ya wauza kahawa

Maajabu ya wauza kahawa

Jamani naomba kuwaulizen hawa wanaume dar huwa wakoje mana akitokea mtu mmoja na panga wao hungia ndani ni kwamba hawana nguvu
Inategemea Dar maeneo yapi; ukishapita Banana kuelekea Kitunda, Nyantira, Kivule, Msongola, Magole, Chakenge, Tambani na maeneo jirani thubuti kufika na hilo panga lako utaona moto wake.
 
Wakuu,

Mimi huwa nashangazwa sana na wauza kahawa wa Tanzania .Huwa wanaweka kahawa kwenye birika la aluminium halafu chini wanaweka mkaa ili kahawa isipoe, sasa ninachojiuliza ni kwa nini wasitumie "Thermoses " ili kuepuka kutembea na mkaa? Au mkaa unasaidia kuifanya kahawa kukolea zaidi?
We jamaa ndo umeona ajabu hill eti, unataka mwenzio auze Lita moja kwa siku,? Ila huko kwenu inaonekana maajabu yamekosekana, njoo huku kwetu maajabu hayaishi "askari kapiga kalele za mwiziii mwiziii akiwa anaenda kumkamata mwizi"
 
Hivi mbona hawaweki sukari hiyo kitu kuinywa unatakiwa uwe mzoefu sana
 
birika inaongezaa hamasaa kwa ndugu watazamaji kuona kama yaliyomo yamoo!
 
wanatembea na jiko kwa sabab ikiisha wanaongeza buni na kuchemsha nyingine that's all I know
 
Back
Top Bottom