NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,138
Thermoses na kahawa wapi na wapi mkuuu?
Ni sawa na bia iwekwe kwenye chupa za soda, hakuna atakayekunywa aisee!
Ni sawa na bia iwekwe kwenye chupa za soda, hakuna atakayekunywa aisee!
Akiri za Kibashite hiziUwa MNA kurupuka kutoka shimoni?
Na alidondoki hata akichokaMaajabu ya wauza kahawa nijuavyo ni kuwa wanatembea toka Buguruni/Kariakoo hadi Mbagala kwa miguu na kuongeza maji kwenye birika na kuongeza mkaa
Mkuu umenifurahisha sana! Unajua kuna vitu vingine ukifikiria unaweza ukacheka including that! Umetufurahisha sanaWakuu,
Mimi huwa nashangazwa sana na wauza kahawa wa Tanzania .Huwa wanaweka kahawa kwenye birika la aluminium halafu chini wanaweka mkaa ili kahawa isipoe, sasa ninachojiuliza ni kwa nini wasitumie "Thermoses " ili kuepuka kutembea na mkaa? Au mkaa unasaidia kuifanya kahawa kukolea zaidi?
kari = kaliWanaume wa Dar wanapenda kahawa wakati kuna joto kari sana
Hukunilipia ada mkuukari = kali
Mkuu kwanza ningependa ufahamu Kua kahawa INA nguzo 5Wakuu,
Mimi huwa nashangazwa sana na wauza kahawa wa Tanzania .Huwa wanaweka kahawa kwenye birika la aluminium halafu chini wanaweka mkaa ili kahawa isipoe, sasa ninachojiuliza ni kwa nini wasitumie "Thermoses " ili kuepuka kutembea na mkaa? Au mkaa unasaidia kuifanya kahawa kukolea zaidi?
Wakuu,
Mimi huwa nashangazwa sana na wauza kahawa wa Tanzania .Huwa wanaweka kahawa kwenye birika la aluminium halafu chini wanaweka mkaa ili kahawa isipoe, sasa ninachojiuliza ni kwa nini wasitumie "Thermoses " ili kuepuka kutembea na mkaa? Au mkaa unasaidia kuifanya kahawa kukolea zaidi?
Lita 30 huwa anabeba ndoo ya maji auMkuu lile birika huwa wanaongeza maji njiani wanaendelea na safari yani kwa siku anaweza uza kahawa hata lita 30 sasa ukiwa na thermosi huwezi
acha imani potofu sio kila anaejua kusoma alienda shule, unapokosea ni lazima uambiwe ni kwa faida yako stay safeHukunilipia ada mkuu
Kwetu ni Kolomije Mimi na Daudi Bashite tumesoma shule moja nivumilie mkuuacha imani potofu sio kila anaejua kusoma alienda shule, unapokosea ni lazima uambiwe ni kwa faida yako stay safe
Acha kua na mawazo ya kijinga,unaporekebishwa kubali kistaarabu,hiyo ni kwa faida yako pia.Hukunilipia ada mkuu
hapo kwenye red bila shaka ulitaka kuandika chungu,Mkuu kwanza ningependa ufahamu Kua kahawa INA nguzo 5
1)Iwe ya moto
2)iwe changu
3)inywewe ktk kikombe chake maalum
4)iwe na takadumu.takadumu maana yake unakunywa kahawa na kashata au tende au halua au matunda
5)maneno ya kwenye genge la kahawa yaache papo hapo endapo umeshamaliza kunywa kahawa na ukaondoka
Mkuu nishamjibu sisi watu wa Kolomije Walimu walikuwa wachache.Mimi na Daudi Bashite tumesoma na kukaa dawati mojaAcha kua na mawazo ya kijinga,unaporekebishwa kubali kistaarabu,hiyo ni kwa faida yako pia.