Maajabu ya wanawake katika mahusiano ya mapenzi

Maajabu ya wanawake katika mahusiano ya mapenzi

Bado wanahitaji kuwaandaa kwenye tendo yaaanii duuu
Na ujinga huu umewafanya "changudoa" kuendelea kutesa maana wao muda wote wameshajiandaa, zaidi wanakuandaa wewe. Mwanaume anapenda kuona mwanamke anahitaji sex badala ya yeye kuonekana kama analazimisha tendo.
 
Ni kweli mkuu, yaani mwanamke usimpe kila anachokitaka ukitegemea atakuona bonge la bwana hawaeleweki hawa viumbe
Hakika MKUU.
Ukimjali sana atakuona unatumia PESA kumshawishi.

Love doesn't cost a thing
 
VITU ANAVYOHITAJI MWANAUME KWA MWANAMKE
1. Kupikiwa
2. unyumba
3. kupumzika
4. uvumilivu.

MWANAMKE ANAHITAJI MWANAUME UWE...

1. Mpenzi
2. rafiki
3. mshikaji
4. baba
5. kaka
6. mwalimu
7. boss
8. mpiganaji
9. askari
10. mlinzi
11. mpishi
12. Fundi umeme
13. Fundi bomba
14. Sheikh
15. Mchungaji
16.mzee wa msikiti
17. Mzee wa kanisa
18. Daktari
19. Mpambaji
20. Mwana mitindo
21. Modo
22. Mnyanyua vyuma
23. Fundi magari
25. Mwanasheria
26. Mhasibu
27. Fundi selemala
28. Mcheshi
29. Mwanamziki
30. Muigizaji
31.shamba boy
32. Fundi ujenzi
33. Msafi
34. Unajali
35. Mzazi
36. Mlezi
37. Mvumilivu
38. Mjanja
39. Mpole
40. Mkarimu
41. Msikivu
42. Mtunza siri
43. Mkweli
44. Kiongozi
45. Tajiri
46. Mpangaji
47. Mwana michezo
48. Mtundu
49. Tegemeo
50. Jasiri
51. Mthubutu
52. Shupavu
53. Mwerevu
54. Muungwana

HAPO HAPO UNATAKIWA
55. Uwe fundi kitandani
56. Uwe unamtoa outing
57. Uwe unampa pesa za kutosha...
58. Usi msumbue sumbue
59. Usiangalie wanawake wengine

HALAFU KUNA

60. Kumnunulia vizawadi zawadi hapa na pale
61. Kumsifia alivyoumbwa
62. Kumsifia alivyopendeza..
63. Kumfungulia mlango
64. Kumshikia kipochi

PIA USISAHAU..

65. Siku yake ya kuzaliwa
66. Kumbukumbu ya ndoa
67. Siku ya Valentine

MUHIMU SANA KUWA MAKINI...

68. Jifunze kutoulizia chenji ...ukimpa pesa ya shopping
69. Usipende kubishana nae kila kitu
70. Usisahau kumtumia na yakutolea....

WANAUME TUNA KAZI NA KWANINI TUSIFE MAPEMA....
Uende uvinza urudi
 
Ukifanya yote hayo 70yrs utakutana nayo kaburini.

Be you!
 
VITU ANAVYOHITAJI MWANAUME KWA MWANAMKE
1. Kupikiwa
2. unyumba
3. kupumzika
4. uvumilivu.

MWANAMKE ANAHITAJI MWANAUME UWE...

1. Mpenzi
2. rafiki
3. mshikaji
4. baba
5. kaka
6. mwalimu
7. boss
8. mpiganaji
9. askari
10. mlinzi
11. mpishi
12. Fundi umeme
13. Fundi bomba
14. Sheikh
15. Mchungaji
16.mzee wa msikiti
17. Mzee wa kanisa
18. Daktari
19. Mpambaji
20. Mwana mitindo
21. Modo
22. Mnyanyua vyuma
23. Fundi magari
25. Mwanasheria
26. Mhasibu
27. Fundi selemala
28. Mcheshi
29. Mwanamziki
30. Muigizaji
31.shamba boy
32. Fundi ujenzi
33. Msafi
34. Unajali
35. Mzazi
36. Mlezi
37. Mvumilivu
38. Mjanja
39. Mpole
40. Mkarimu
41. Msikivu
42. Mtunza siri
43. Mkweli
44. Kiongozi
45. Tajiri
46. Mpangaji
47. Mwana michezo
48. Mtundu
49. Tegemeo
50. Jasiri
51. Mthubutu
52. Shupavu
53. Mwerevu
54. Muungwana

HAPO HAPO UNATAKIWA
55. Uwe fundi kitandani
56. Uwe unamtoa outing
57. Uwe unampa pesa za kutosha...
58. Usi msumbue sumbue
59. Usiangalie wanawake wengine

HALAFU KUNA

60. Kumnunulia vizawadi zawadi hapa na pale
61. Kumsifia alivyoumbwa
62. Kumsifia alivyopendeza..
63. Kumfungulia mlango
64. Kumshikia kipochi

PIA USISAHAU..

65. Siku yake ya kuzaliwa
66. Kumbukumbu ya ndoa
67. Siku ya Valentine

MUHIMU SANA KUWA MAKINI...

68. Jifunze kutoulizia chenji ...ukimpa pesa ya shopping
69. Usipende kubishana nae kila kitu
70. Usisahau kumtumia na yakutolea....

WANAUME TUNA KAZI NA KWANINI TUSIFE MAPEMA....
Bado tena akimaliza kujisaidia ukamtawaze,,!!
 
Utafanya yote kwa mwanamke kama hakupendi ni hupendwi tu.

Wenyewe wana kauli yao wakitaka kuhalalisha kuchepuka na mwanaume mwingine.

""Mapenzi sio PESA.""

Hii kauli hii inafanya nisijitoe sana kwa mwanamke.
Kadiri unavyomjali ndy mwanamke anakimbiza moyo wake kwako.

Wanawake wanapenda mwanaume asiyejali.
Exactly, ukijali hawajali, usipojali wanajali. Wanajali asiyejali ili wahubiri kuhusu namna wanavyopenda mwanaume anayejali.
 
Na ujinga huu umewafanya "changudoa" kuendelea kutesa maana wao muda wote wameshajiandaa, zaidi wanakuandaa wewe. Mwanaume anapenda kuona mwanamke anahitaji sex badala ya yeye kuonekana kama analazimisha tendo.
Word! Nimependa line ya mwisho.
 
Back
Top Bottom