herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,129
- 4,712
Katika watu wanaotakiwa waingie kwenye maajabu ya dunia basi ni wanaume wa Dar.
1. Ndio mkoa wenye wabunge wengi waliounga mkono juhudi.
2. Ndio mkoa ambao umefanyiwa kila aina ya hila katika chaguzi za marudio ikiwepo sanduku la kura kuibiwa mchana kweupe.
3. Ndio mkoa ambao chaguzi zake ndizo zinazowafanya viongozi wa CHADEMA wawe na kesi ya kujibu ambayo Kuna tetesi kuwa mwisho wake hautakuwa mzuri.
4. Ndio mkoa ambao chaguzi za marudio zilisababisha vifo vya Aquilina na Katibu wa CHADEMA kata ya Hananasif
5. Ndio mkoa ambao umedhurika zaidi na kudidimia kwa demokrasia
6. Ndio mkoa ulioathiriwa zaidi na Bomoa Bomoa kinyume na ORDER ya mahakama huku wenzao wa Kanda ya ziwa wakisamehewa kwa kuwa tu walimpigia kura mkuu.
Lakini Cha kushangaza, ndio mkoa ambao Asilimia 90 ya watu wake wenye sifa ya kupiga kura wamejiandikisha kupiga kura, for what?
Nyinyi wanaume wa Dar nyinyi....
1. Ndio mkoa wenye wabunge wengi waliounga mkono juhudi.
2. Ndio mkoa ambao umefanyiwa kila aina ya hila katika chaguzi za marudio ikiwepo sanduku la kura kuibiwa mchana kweupe.
3. Ndio mkoa ambao chaguzi zake ndizo zinazowafanya viongozi wa CHADEMA wawe na kesi ya kujibu ambayo Kuna tetesi kuwa mwisho wake hautakuwa mzuri.
4. Ndio mkoa ambao chaguzi za marudio zilisababisha vifo vya Aquilina na Katibu wa CHADEMA kata ya Hananasif
5. Ndio mkoa ambao umedhurika zaidi na kudidimia kwa demokrasia
6. Ndio mkoa ulioathiriwa zaidi na Bomoa Bomoa kinyume na ORDER ya mahakama huku wenzao wa Kanda ya ziwa wakisamehewa kwa kuwa tu walimpigia kura mkuu.
Lakini Cha kushangaza, ndio mkoa ambao Asilimia 90 ya watu wake wenye sifa ya kupiga kura wamejiandikisha kupiga kura, for what?
Nyinyi wanaume wa Dar nyinyi....