alafu huyo sijui mmama aliesimama kwenye majani hapo pembeni mbona nguo zote hasa vitenge.....au alienda dukan kununua. ili avae aje hapo au km ni wanga kumbe wanavyosema wanawanga uchi ni uongo??
mshana bna picha bila maelezo ni mtihani ujue
alafu huyo sijui mmama aliesimama kwenye majani hapo pembeni mbona nguo zote hasa vitenge.....au alienda dukan kununua. ili avae aje hapo au km ni wanga kumbe wanavyosema wanawanga uchi ni uongo??
mshana bna picha bila maelezo ni mtihani ujue
Mtani acha bana uyo mtu kasimama tu kawaida iyo miiba ni kama kulikua na uchochoro apo wa kupita wakauziba kwa iyo miiba. uoni kasimama kwa pembeni! Alafu ni kama watu wamelala kwenye msiba au sherehe naona katoni za maji yetu apo
Kama kwenye msiba vile? Ila kunakichanga nacho kinalala kwenye msiba? Kuna na chupa za chai. Au ni stend ya mabasi yanayolala njiani? Mshana tutoe gizani tafadhari.