Tunaendelea na maajabu ya TRA, hii ni segment mpya kabisa hebu jaribu upige hii hesabu.
Nchi hii haina viwanda vya kutengeneza magari, sio kwamba unaongeza kodi kwamba unalinda viwanda vya ndani vinavyozalisha au kuunganisha magari hapana.
Matokeo yake mwananchi anaacha kuagiza gari anahamishia kipaumbele kwenye mambo mengine, gari TRA wanaona ni kama anasa hivi wanajificha kwenye kivuli cha kulinda mazingira kajionee maajabu, kodi ya kuagiza gari lililotumika ni kubwa na kodi ya gari jipya nayo ni kubwa, na kodi ya gari ya miaka michache toka litengenezwe ni kubwa.
Unawaza wanalinda mazingira gani?
Haya mwananchi ataacha kuagiza gari halafu mzunguko wa mafuta utakua chini hapo kodi kubwa inakufanya ukose vyote,
Tanzania yenye Bandari kumiliki gari ni gharama kuliko kumiliki gari Zambia, Rwanda, wala Congo ambazo hazina bandari.
Nchi hii haina viwanda vya kutengeneza magari, sio kwamba unaongeza kodi kwamba unalinda viwanda vya ndani vinavyozalisha au kuunganisha magari hapana.
Matokeo yake mwananchi anaacha kuagiza gari anahamishia kipaumbele kwenye mambo mengine, gari TRA wanaona ni kama anasa hivi wanajificha kwenye kivuli cha kulinda mazingira kajionee maajabu, kodi ya kuagiza gari lililotumika ni kubwa na kodi ya gari jipya nayo ni kubwa, na kodi ya gari ya miaka michache toka litengenezwe ni kubwa.
Unawaza wanalinda mazingira gani?
Haya mwananchi ataacha kuagiza gari halafu mzunguko wa mafuta utakua chini hapo kodi kubwa inakufanya ukose vyote,
Tanzania yenye Bandari kumiliki gari ni gharama kuliko kumiliki gari Zambia, Rwanda, wala Congo ambazo hazina bandari.