Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Hii ni blue murder kabisa!!Duu zile hela zote?hii sio white elephat project?
Hii ni blue murder kabisa!!Duu zile hela zote?hii sio white elephat project?
Mkuu sio hela tuu kumbuka na mabomu waliyopigwa wamakonde wale,hadi vikosi vy JWT vilipelekwa.ubashite injii hii sijui utaisha liniDuu zile hela zote?hii sio white elephat project?
Ndio maana nakushangaa sana unaposhabikia vitu usivyoweza tolea maelezo!! Hamna kiongozi mwenye akili timamu anaweza kuona uozo akakaa kimya!! Huwezi sema alikaa kimya ili asifukuzwe huu ni ujina na uoga!!Si nimekuandikia umtafute alipo akueleze au vipeeee!? Kwa bahati nzuri au mbaya nimemaliza na siongezi. Kuna kujua wapi kuachia, na ni bora kea sababu hata unisukume vipi unafikiri wewe mjanja mimi nimemaliza.
Kwa ufupi:
Bomba la gesi toka Mtwara hadi Dar ambalo limeigharimu serikali zaidi ya Tshs Trilion Mbili na nusu imebainika kwa zaidi ya 94% halina kazi.
Kwa mujibu wa report ya CAG inasema ni 6% za bomba hilo ghari zaidi Afrika mashariki ndio inafanya kazi huku ikighubikwa na ufisadi mkubwa.
Kwa lugha rahisi kuwa 94% ya bomba haitumiki.
Hints:
1. Bei ya watumiaji ni sawa ingawa watumiaji wako umbali tofauti.
2. Kutolipwa ankara za mauzo toka Tanesco kwenda TPDC
3. Utata kwenye mikataba ya mkopo
4. Kulipia gesi hata kama haijatumika (kama ilee ya IPTL)
5. Mkopo ulitarajiwa kulipwa kwa uuzwaji wa gesi lakini haifanyiki hivyo
6. Bomba limejengwa bila kujua au kutafta wateja ( yale yale ya ATCL hakuna business plan)
7. Kiasi kinachozalishwa ni kidogo kulipa mkopo
8. Mpaka sasa mteja pekee ni tanesco anyetumia futi za ujazo 46.61 badala ya 80 milioni kwa siku
9. Lengo ilikuwa kuuza viwandani, majumbani lakini haifanyiki hivyo hivyo ni underutilized
10. Tanesco inadaiwa USD million 61.35 na TPDC na hawajalipa mpaka leo
11. Hivyo deni linqzidi kuwa kubwa kwa kutolipa mkopo kwa wakati
HABARI KAMILI: CAG akosoa bomba la gesi
Other data:
UFISADI katika Mradi wa Bomba la Gesi: Serikali imechakachua bei(?)
Kwa ufupi:
Bomba la gesi toka Mtwara hadi Dar ambalo limeigharimu serikali zaidi ya Tshs Trilion Mbili na nusu imebainika kwa zaidi ya 94% halina kazi.
Kwa mujibu wa report ya CAG inasema ni 6% za bomba hilo ghari zaidi Afrika mashariki ndio inafanya kazi huku ikighubikwa na ufisadi mkubwa.
Kwa lugha rahisi kuwa 94% ya bomba haitumiki.
Hints:
1. Bei ya watumiaji ni sawa ingawa watumiaji wako umbali tofauti.
2. Kutolipwa ankara za mauzo toka Tanesco kwenda TPDC
3. Utata kwenye mikataba ya mkopo
4. Kulipia gesi hata kama haijatumika (kama ilee ya IPTL)
5. Mkopo ulitarajiwa kulipwa kwa uuzwaji wa gesi lakini haifanyiki hivyo
6. Bomba limejengwa bila kujua au kutafta wateja ( yale yale ya ATCL hakuna business plan)
7. Kiasi kinachozalishwa ni kidogo kulipa mkopo
8. Mpaka sasa mteja pekee ni tanesco anyetumia futi za ujazo 46.61 badala ya 80 milioni kwa siku
9. Lengo ilikuwa kuuza viwandani, majumbani lakini haifanyiki hivyo hivyo ni underutilized
10. Tanesco inadaiwa USD million 61.35 na TPDC na hawajalipa mpaka leo
11. Hivyo deni linqzidi kuwa kubwa kwa kutolipa mkopo kwa wakati
HABARI KAMILI: CAG akosoa bomba la gesi
Other data:
UFISADI katika Mradi wa Bomba la Gesi: Serikali imechakachua bei(?)
Magu alikuwa Waziri wa JK. Magu huyo huyo ndiye aliyesema "atamlinda" JK na kumtaka JK afurahie maisha kwa raha zake. Magu aliahidi hatafukua makaburi.Kamuulizeni JK.
Na ushindi wa kishindo,ccm inakubali jamanCCM oyeeeeeee...Tumejipangaaaaaaa mwaka huuu wataisomaaaaaa