cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,760
- 73,417
Yeye si alikua mbunge??
Mbona hatukumsikia bungeni akiwa anatetea huu ujinga usifanyalike??
Ni lazima ila kiongozi ayaongeleee, si bora yeye alijua lengo lake baadae baada ya kuona yanayojiri na ameyafikia sasa tumpe nafasi ayatende. Watanzania kwanza kwake na maendeleo sio kula bata.