Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,918
- 95,201
Mkuu ccm ni hatari sana na ndio maana hawataki kuondoka madarakani hata kama wapiga kura watawakataaDuu zile hela zote?hii sio white elephat project?
Mkuu ccm ni hatari sana na ndio maana hawataki kuondoka madarakani hata kama wapiga kura watawakataaDuu zile hela zote?hii sio white elephat project?
Teeeeeeeeh teeeeeeeee teeeeeeeeeh alafu tunajisifu tumenunua ndege kwa keshiii na tutajenga tureeni kwa keshiiiiHii ni aibu kwa kukuwa bado Watanzania waliowengi wa kipato cha chini wanasumbuka mno na matatizo ya ukosefu wa mitaji, huduma za mbovu za afya na Elimu, ukosefu wa maji safi na tatizo la viongozi kuwalaghai kila uchaguzi ukifika. Halafu wao wamekazani na vitu visivyogusa maisha yao ya kila siku kuwekeza pesa nyingi. Ni aibu na uonevu kwa Binadamu. Ipo siku Mungu atasikia kilio cha wanyonge wasio na hatia. Mungu tunakuomba utusaidie sana waja wako dhidi utawala dhalimu!
Kwa ccm hakuna mtu wa kuweka mikataba waziuwazi wa mikataba ndio mwarobaini maana mtu hawezi kuchukua maamuzi ya kimikataba yasiyokuwa upande wa wananchi huku akijua kila kitu kitakuwa wazi...
Ccm hakuna msafiKamuulizeni JK.
Hata magufuli alikuwepo kwenye baraza la mawaziri so na yeye ni muhusika tena mkubwa tu!! mwache msoga airline atulie, magufuli aseme huu ufisadi umetokeaje!Kamuulizeni JK.
there is no God as you can imagine...ndo mana wajanja walishajua hilo toka miaka na miaka...ukipata gepu la maisha piga ...there is no judgement after what you do either wrongly or right way but only the universe does to you every thing through its law of Karma...".what goes around comes around"Hii ni aibu kwa kukuwa bado Watanzania waliowengi wa kipato cha chini wanasumbuka mno na matatizo ya ukosefu wa mitaji, huduma za mbovu za afya na Elimu, ukosefu wa maji safi na tatizo la viongozi kuwalaghai kila uchaguzi ukifika. Halafu wao wamekazani na vitu visivyogusa maisha yao ya kila siku kuwekeza pesa nyingi. Ni aibu na uonevu kwa Binadamu. Ipo siku Mungu atasikia kilio cha wanyonge wasio na hatia. Mungu tunakuomba utusaidie sana waja wako dhidi utawala dhalimu!
Kwa ufupi:
Bomba la gesi toka Mtwara hadi Dar ambalo limeigharimu serikali zaidi ya Tshs Trilion Mbili na nusu imebainika kwa zaidi ya 94% halina kazi.
Kwa mujibu wa report ya CAG inasema ni 6% za bomba hilo ghari zaidi Afrika mashariki ndio inafanya kazi huku ikighubikwa na ufisadi mkubwa.
Kwa lugha rahisi kuwa 94% ya bomba haitumiki.
Hints:
1. Bei ya watumiaji ni sawa ingawa watumiaji wako umbali tofauti.
2. Kutolipwa ankara za mauzo toka Tanesco kwenda TPDC
3. Utata kwenye mikataba ya mkopo
4. Kulipia gesi hata kama haijatumika (kama ilee ya IPTL)
5. Mkopo ulitarajiwa kulipwa kwa uuzwaji wa gesi lakini haifanyiki hivyo
6. Bomba limejengwa bila kujua au kutafta wateja ( yale yale ya ATCL hakuna business plan)
7. Kiasi kinachozalishwa ni kidogo kulipa mkopo
8. Mpaka sasa mteja pekee ni tanesco anyetumia futi za ujazo 46.61 badala ya 80 milioni kwa siku
9. Lengo ilikuwa kuuza viwandani, majumbani lakini haifanyiki hivyo hivyo ni underutilized
10. Tanesco inadaiwa USD million 61.35 na TPDC na hawajalipa mpaka leo
11. Hivyo deni linqzidi kuwa kubwa kwa kutolipa mkopo kwa wakati
HABARI KAMILI: CAG akosoa bomba la gesi
Other data:
UFISADI katika Mradi wa Bomba la Gesi: Serikali imechakachua bei(?)
Aisee... sikujua hili, kumbe mawaziri na Raisi wanafanana ktk maamuzi serikalini. Yaani waziri ana mamlaka sawa na Raisi? Sasa kwa nini hivi sasa lawama za utendaji serikalini anapewa Magufuli badala ya mawaziri? Kumbe wanamuonea aisee....Hivi uyo JPM hakuwa waziri? Hakuepo kwenye baraza la mawaziri wanaojadili mikataba mikubwa kama hiyo? Hakua mbunge? Yeye sindio alikua anaongoza kwa kupiga meza kule bungeni wakati upinzani wakilalamikia huo mradi? Yeye sindio alikua waziri wa wizara ya ujenzi?
HahahahaISIS
I totally expected that from you fool, ubishi mbele hata ukiambiwa nini! Chige mbishi too predictable!Pole sana manake inaonekana ulikuwa unaongea jambo usilolijua!!!
Cc: Bavicha.Elimu inatakiwa itumike sambamba na akili ya kuzaliwa (common sense).
Elimu ya kukariri darasani ikiwekwa mbele sana (kwa sababu ya ulimbukeni tu) kuna madhara.
Jamaa una swali zuri sana. Ni kwamba kinachoongelewa ni uwezo wa bomba kupitisha certain amount of gas (in volume), na sio cross section ya bomba times length ( V=Area × Length). Design capacity ya bomba ikiwa 1000mmscfd na ukapitisha 80mmscfd bado gesi itajaa kwenye bomba ( kwa sababu ni compressible) lakini ni under-capacity. I hope umenielewaGas ni compressive fluid, najaribu kuwaza...inawezeka vipi isafiri kwenye bomba kwa 6% cross section area ya bomba hilo!? Hapa naomba nguli wa mambo hayo anisaidie.
Hata magufuli alikuwepo kwenye baraza la mawaziri so na yeye ni muhusika tena mkubwa tu!! mwache msoga airline atulie, magufuli aseme huu ufisadi umetokeaje!
Yeye si alikua mbunge??Alikuwepo ndio ila nani alikuwa muamuzi wa awamu hiyo? Na ukiambiwa ushauri wake na wengine walioitakia nchi yetu mazuri haukusikilizwa utasemaje hapo?
Ukimuona anavyowajibika anaonyesha mengi aliyaona ila ni kuwa Raisi tu ndio angepambana nayo, na hapa kazi tu inazidi kupaaaaa.