Maajabu ya Mwanamke

Ila na sisi wanaume tukiamuaga kuwanyoosha mbona wanapiga saluti...
 
Mnajitia uchizi kumjadili mwanamke kama hamjui tunakufa coz of who???
 
Hawa dawa yao ni udikteta tu!, ukitumia diplomasia wanakuona wakuja.
 
Ajabu jingine la mwanamke limetokea leo!

Kwamba siri ya Rais Mwinyi kuishi miaka mingi ni kuoa wanawake wengi!! JPM katoboa siri hiyo leo
 
Hao unaowaita dhaifu ni Strong kwa Vijana wasasa
 
pale kati pameleta yote haya
 
Ni viumbe ambao mpaka katika umri huu nilionao, sijawahi kuwaelewa!
 
mpaka Mungu akaonya kwa kusema "enyi wanaume ishini kwa akili na wake zenu" inamaana apo alikujulisha kua mwanamke ni bright kuliko wewe mwanaume.
 
mpaka Mungu akaonya kwa kusema "enyi wanaume ishini kwa akili na wake zenu" inamaana apo alikujulisha kua mwanamke ni bright kuliko wewe mwanaume.
God made a woman from a crooked rib, if a man tries to straighten it he surely breaks it
 


Wewe mwanamke mbona unakuwa mbishi hivi... khaaa...
 
Ni kiumbe dhaifu km tulivyokalilishwa, ila kiuharithia Mwanamke si kiumbe dhaifu
Ngosha. Uko Dar sasa. Au unasubiri mpaka ukutane na mama Kifimbocheza Faiza Foxy ndo ujifunze lugha sahihi?

=> Tulivyokalilishwa = tulivyokaririshwa (Hapa nimekuelewa kwa sababu Kisukuma hakina r)

=> Kiuharithia = kiuhalisia (Hapa sijakuelewa kwa sababu Kisukuma hakina th. Umeitoa wapi mpaka kufikia steji ya kuitumia hata mahali isipotakiwa?)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…