Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Hawa waandishi wengine wanatazama makatuni ya tarzan na kuunga unga habari,sio mbaya ni katika kutufurahisha,ila mtoto wa miaka mitani kwa kimo ni sawa na nyani mwenyewe. au walikusudia miezi mitano.
Tena suala la umri limechanganywa as well...ebu soma vizuri maandishi chini ya hiyo picha...yanasema ''hadi alipofika umri wa miaka SITA'' ndani ya habari...miaka mitano????????? Confused!