Maajabu ya Kisiwa cha Bermuda


hadithi hii inatufundisha nini?
 

Olele huo uchunguzi ulioufanya nina mashaka nao....Nikuhakikishie yanayosemwa kuhusu Bermuda triangle juu ya mauzauza sii uongo. Wala hulazimishwi kuamini ni kweli kwani hata usipoamini haitabadilisha ukweli uliopo. Katika ile triangle kuna uhusiano na nguvu za giza na wazungu hasa american elites (walio kwenye occultic groups) wanajua na ni moja ya sehemu zao za kazi . Sayansi iliyoko pale ni spiritual....
 
Dont let them get in your head they want to probe you, figure your thoughts so they can try and control you.
And through you control your whole crew.. Its european psychology boy
 

ah mi wala sibishani na wewe kwamba kuna nguvu za giza au vipi.. nadhani ndo umeweka hapo video kuthibitusha.. kitu ninachopinga ni kuwa kuna ajali nyingi za ndege na meli zimetokea eneo hilo. na ninasimamia kwenye repoti za watafiti kadhaa na mmoja wapo alitafiti kwenye taasisi moja ya marekani inayorecord matukio ya ajali au (ndege na meli) yote yanayotokea au kupotea baharini tokea miaka ya 1800 akakuta hiyo ajali moja tu iliyotokea kwenye maeneo hayo na hakuna tukio/ajali lolote lilirekodiwa sehemu yoyote duniani kutokea kwenye maeneo hayo. so akawa anauliza swali hizo ajali zinazosemekana mbona hakuna sehemu yeyeto duniani zimewahi kurekodiwa/kuripotiwa.
ndio maana nina ujasiri wa kusema ni uwongo kwa sababu nina mahali nasimamia na report kadhaa nilizosoma..

so wewe unaposimamia ni hiyo video ya watu wanaotolewa mapepo hapo.. ndo ushahidi wako
 
Hizo ni american mysteries, mtoa mada amekurupuka bila kujua dhumuni lake hasa hizo mysteries school of thought. Ukizisoma bila kuwa na zako sio muda utamkataa Mungu. Mysteries school ni kati madarasa ya mwanzo kwa wale wanojiita ellites (planners/NWO).
 
Nafikiri wewe ulitaka kuzungumzia Bermuda Triangle na sio Bermuda Island.

 
Reactions: PNC
Kama siyo kweli, naomba kueleweshwa, kwa nini hakuna ndege wala meli yoyote ambayo route yake inapita eneo hilo? Jaribu tuu kufanya utafiti.
 
Kama siyo kweli, naomba kueleweshwa, kwa nini hakuna ndege wala meli yoyote ambayo route yake inapita eneo hilo? Jaribu tuu kufanya utafiti.
Acha kujidanganya Kijana, Kama nataka kwenda Bahamas au Bermuda Island yenyewe, unafikiri huwa tunaendaje?
 
Story umeitunga vyema, ila scenery aiendani na ideology yake.
 


Hamna kitu kama mauzauza au spiritual power pale hizo ni tungo, mimi nimepita mara kibao pale, mitikisiko ya ndege eneo lile husababishwa na mkondo wa hewa sawa tu na sehemu zingine zenye mikondo ya hewa, kuna uzushi mwiiiingi kuhusu Bermunda triangle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…