ukafungua kioo cha ndege??? au unaongelea youtong?kwanini mkuu? Kwani kwenye ndege watu hawafungui vioo?
Uko ndani ya ndege. Kukiwa na utulivu mkubwa ambapo watu wengi wanaonekana kusinzia. Umejiegemea kwenye seat yako ukitafakari hili na lile.. Ghafla unaskia sauti ya kilio cha mtoto mchanga kwa mbali.. unageuka huku na kule na unajiridhisha sauti ile unayoiskia haitoki ndani ya ndege bali nje.
Unajiuliza mara mbili mbili.. unashangaa . Ghafla unajiskia ulazima wa kwenda haja ndogo, unapokaribia mlango wa choo unaanza kuhisi mle ndani ya choo kuna nyoka kibao. Unajipa ujasiri na kufungua mlango, mlango haufunguki. Unasukuma tena kwa nguvu mlango bado haufunguki.
Unapata hisia kuna nyoka mkubwa yuko mlangoni ndio maana mlango haufunguki.Unaamua kuahirisha tukio unarudi kukaa kwenye kiti chako, ile kukaa tu unakutana na boonge la mtikisiko (turbulent). unaanza kuhisi ndege inadondoka unaangalia saa..ni saa 5 usiku na bado kuna kama masaa matano kabla ya ndege kutua.
Unafungua dirisha kuangalia nje ni giza totoro, unachokishuhudia nje ni mvua kubwa na radi, pia sauti ya kilio cha kitoto kichanga inasikika zaidi. Isitoshe unaskia mshindo mkubwa kwa mbali. Haraka unafunga dirisha.Unaamua kupambana na hofu kwa kujiimbisha, Mbinguni..kuna makao mazuri sana.
unaangalia pembeni unajistukia umekuwa ukiimba kwa sauti kiasi cha kuwaamsha baadhi ya abiria wenzako ambao wanakuangalia kwa jicho la kukushutumu na pia unajistukia ni kama wimbo wenyewe unakusuta vile kwa mazingira uliyonayo. Unajaribu kupotezea kwa kujichekesha lakini sauti inayotoka inakuwa ya ajabu kutokana na hofu uliyonayo.
Unaacha kuimba na kuiruhusu hofu iliyokushika itawale. Unawasha kitv unaangalia geographical location ulipo ramani inakuonesha unapita kisiwa cha Bermuda.Kijasho chembamba kinakutiririka japo kuna AC. Unatamani ushuke.
nope.. its just a myth.. hizi stori nilisikia nikaamua kufanya uchukunzi kwa kusoma kwenye sites kadhaa na vitabu.. ni uwongo tu unakuzwa/unatengenezwa na watu na kuna watu/wazungu wametengeneza fedha nyingi kwa hii stori..
kwenye data za ajali za ndege na meli za marekani kuna ajali moja tu ya ndege tena ni eneo pembeni kidogo imewahi kuripotiwa na hakuna pengine popote imewahi kurekodiwa kuwa kuna ndege/meli imewahi kupotea maeneo hayo..
so ni uwongo tu..
Olele huo uchunguzi ulioufanya nina mashaka nao....Nikuhakikishie yanayosemwa kuhusu Bermuda triangle juu ya mauzauza sii uongo. Wala hulazimishwi kuamini ni kweli kwani hata usipoamini haitabadilisha ukweli uliopo. Katika ile triangle kuna uhusiano na nguvu za giza na wazungu hasa american elites (walio kwenye occultic groups) wanajua na ni moja ya sehemu zao za kazi . Sayansi iliyoko pale ni spiritual....
Nafikiri wewe ulitaka kuzungumzia Bermuda Triangle na sio Bermuda Island.Uko ndani ya ndege. Kukiwa na utulivu mkubwa ambapo watu wengi wanaonekana kusinzia. Umejiegemea kwenye seat yako ukitafakari hili na lile.. Ghafla unaskia sauti ya kilio cha mtoto mchanga kwa mbali.. unageuka huku na kule na unajiridhisha sauti ile unayoiskia haitoki ndani ya ndege bali nje.
Unajiuliza mara mbili mbili.. unashangaa . Ghafla unajiskia ulazima wa kwenda haja ndogo, unapokaribia mlango wa choo unaanza kuhisi mle ndani ya choo kuna nyoka kibao. Unajipa ujasiri na kufungua mlango, mlango haufunguki. Unasukuma tena kwa nguvu mlango bado haufunguki.
Unapata hisia kuna nyoka mkubwa yuko mlangoni ndio maana mlango haufunguki.Unaamua kuahirisha tukio unarudi kukaa kwenye kiti chako, ile kukaa tu unakutana na boonge la mtikisiko (turbulent). unaanza kuhisi ndege inadondoka unaangalia saa..ni saa 5 usiku na bado kuna kama masaa matano kabla ya ndege kutua.
Unafungua dirisha kuangalia nje ni giza totoro, unachokishuhudia nje ni mvua kubwa na radi, pia sauti ya kilio cha kitoto kichanga inasikika zaidi. Isitoshe unaskia mshindo mkubwa kwa mbali. Haraka unafunga dirisha.Unaamua kupambana na hofu kwa kujiimbisha, Mbinguni..kuna makao mazuri sana.
unaangalia pembeni unajistukia umekuwa ukiimba kwa sauti kiasi cha kuwaamsha baadhi ya abiria wenzako ambao wanakuangalia kwa jicho la kukushutumu na pia unajistukia ni kama wimbo wenyewe unakusuta vile kwa mazingira uliyonayo. Unajaribu kupotezea kwa kujichekesha lakini sauti inayotoka inakuwa ya ajabu kutokana na hofu uliyonayo.
Unaacha kuimba na kuiruhusu hofu iliyokushika itawale. Unawasha kitv unaangalia geographical location ulipo ramani inakuonesha unapita kisiwa cha Bermuda.Kijasho chembamba kinakutiririka japo kuna AC. Unatamani ushuke.
Ni kweli mkuu hiyo ni Bermuda triangle anayo hadithia yeyeNafikiri wewe ulitaka kuzungumzia Bermuda Triangle na sio Bermuda Island.
![]()
Nafikiri alichanganya kidogo. Lakini tumemwelea anasema nini.Ni kweli mkuu hiyo ni Bermuda triangle anayo hadithia yeye
Acha kujidanganya Kijana, Kama nataka kwenda Bahamas au Bermuda Island yenyewe, unafikiri huwa tunaendaje?Kama siyo kweli, naomba kueleweshwa, kwa nini hakuna ndege wala meli yoyote ambayo route yake inapita eneo hilo? Jaribu tuu kufanya utafiti.
Olele huo uchunguzi ulioufanya nina mashaka nao....Nikuhakikishie yanayosemwa kuhusu Bermuda triangle juu ya mauzauza sii uongo. Wala hulazimishwi kuamini ni kweli kwani hata usipoamini haitabadilisha ukweli uliopo. Katika ile triangle kuna uhusiano na nguvu za giza na wazungu hasa american elites (walio kwenye occultic groups) wanajua na ni moja ya sehemu zao za kazi . Sayansi iliyoko pale ni spiritual....
nasikia ndege hazipiti hapo. Je ni kweli?