southern boy
Member
- Jan 12, 2016
- 59
- 121
Haaj haha hahahh ha ila madirisha ya ndege hayafunguki mzeee
Sawa Jack BauerIla ni kweli ndege zinapotea na meli pia Nina list ya ndege na meli zilizopotea huko ngoja nikae sawa nitaziweka hapa
Asante kwa kunikumbusha hapa. Kuna samaki watamu ile mbaya.
Na pale kwamba mvua ilikuwa inanyesha. Nege za masafa marefu hupita juu sana kusikonyesha mvuaila hapo kwenye kufungua na kufunga kioo cha ndege badilisha script ikae poa mana haina uhalisia wowote mkuu.


Nikuunganishie kwa kaka yangu anayeishi huko marekani akufanyie mpango wa ndege kisha ukatize nayo pale (kwenye anga la Bermuda Triangle) kisha urudi kutupa mrejesho?nope.. its just a myth.. hizi stori nilisikia nikaamua kufanya uchukunzi kwa kusoma kwenye sites kadhaa na vitabu.. ni uwongo tu unakuzwa/unatengenezwa na watu na kuna watu/wazungu wametengeneza fedha nyingi kwa hii stori..
kwenye data za ajali za ndege na meli za marekani kuna ajali moja tu ya ndege tena ni eneo pembeni kidogo imewahi kuripotiwa na hakuna pengine popote imewahi kurekodiwa kuwa kuna ndege/meli imewahi kupotea maeneo hayo..
so ni uwongo tu..
Duh ebwana eehNa ile Meli ya Mv Bukoba, imechukuliwa na Alliens, yupo Mzamiaji mmoja alishuhudia hayo akiwa chini katika harakati za Uopoaji Maiti, alipo ibuka juu, akiwa na nia ya Kueleza/kuhadithia kile alicho kiona, ghafla alipatwa na UBUBU....!!
Tunakumbuka wote, pale Divers (Wazamiaji) kutoka nchini Afrika ya Kusini, walipo kuja kwa nia ya kusaidia zoezi hilo, inasemekana ilikuwa ni mbilinge mbilinge ya vuta nikuvute, kati ya Wazamiaji na Vinyambululu (Vibwengo) wa chini ya Bahari, Binaadamu akitaka kuchukua Mwili wa Marehemu, na hawa Alliens waking'ang'ania Maiti kwa nia ya Kunyonya Damu pamoja na kula Nyama.
Wazamiaji walishindwa zoezi, japo siri ilivuja kuwa walishauri, ili kazi ya uopoaji iweze kuendelea, waliomba watoe kafara ya kumwaga Damu na Nyama, kwa kuchinjwa Ng'ombe angalau Kumi, na Mizoga yake imwagwe sehemu ya tukio, Wazee na Serikali walilikataa hilo.
Hatimae zoezi kushindikana, na Wazamiaji (wa kigeni) kufungasha Mizigo na kurudi kwao...!!
NB: Wahenga wanalijua hili tukio vizuri.
Cc: Mshana Jr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauhakika Hujapanda ndgege,kuna kioo cha nje glass ambacho unaona nje lila kitu(hiki huwezi kufungua),ila pia sliding window kama plastic ngumu hizi unachagua kufungua uone nje kupitia kioo au kufunga usione nje.ila hapo kwenye kufungua na kufunga kioo cha ndege badilisha script ikae poa mana haina uhalisia wowote mkuu.
Nauhakika Hujapanda ndgege,kuna kioo cha nje glass ambacho unaona nje lila kitu(hiki huwezi kufungua),ila pia sliding window kama plastic ngumu hizi unachagua kufungua uone nje kupitia kioo au kufunga usione nje.
dah! "Hiyo CRITISISM" ni sheda.Unamuumbua mwenzakoNauhakika Hujapanda ndgege,kuna kioo cha nje glass ambacho unaona nje lila kitu(hiki huwezi kufungua),ila pia sliding window kama plastic ngumu hizi unachagua kufungua uone nje kupitia kioo au kufunga usione nje.


