Yummie
JF-Expert Member
- Sep 12, 2015
- 1,363
- 1,082
Unaniangusha,jina huoni au?Ujumbe upo wapi?
Khanga bila maneno sawa na pilau bila nyama.....
Unaniangusha,jina huoni au?Ujumbe upo wapi?
Khanga bila maneno sawa na pilau bila nyama.....
Nimependa hiyo ya nimempata kwa shida.......Atamnunulia ya kuwapiga kijembe kitaa kizima
*Hayawani hayakuhusu
*Nimempata kwa shida shikeni zenu adabu
*Yakwenu yamewashinda mmekalia fitina
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Ahhh mkuu mbona iko wazi, kitu kipinduliwacho kinamaanisha nini?
nisingeweza hata kuhisi
Pole saaana ........... wajua kuzaliwa uswazi ni raha na taaabu!Khanga raha sana....napenda kusoma vijembe vyao
Mambo ya diapers yalikuwa gharama enzi zetu, ilikuwa ni mwendo wa kipande cha khanga + nepi na mpira wa kuzuia mambo yakiharibikaNimekubali. Wengine vipande vya khanga ndo ilikuwa kama nepi enzi hizo
Mama ananunua chupi ya mkojo akiwa anataka kutoka siku hiyo.Mambo ya diapers yalikuwa gharama enzi zetu, ilikuwa ni mwendo wa kipande cha khanga + nepi na mpira wa kuzuia mambo yakiharibika