Mkuu Exorcist! Kwa sasa bongo muvi bado sana, tena sana! Yani mtu umekaa unaangalia muvi hata bado haujaielewa vizuri hata kisa (theme) yenyewe unashangaa miandishi inatokea inasema WATCH OUT FOR PART 2.!!??? Yani huwa inaboa sana, afu huwa najiuliza sana kwani kila muvi ya bongo lazima iwe na part 2?????
Nitawajibu nyie woote kwa wakati mmoja tena kwa kifupi sana. NI HIVII, Ubora wa movie ni directly proportional na kiwango cha pesa kinachowekezwa.., hilo halina ubishi wala halipingiki. Hivyo basi.., tukiweza kuonyesha bongo movies kwenye cinema halls hapa kwetu maana yake tutainua uchumi wa watengenezaji hizi filamu na consequently wataweza kutengeneza movie zenye ubora zaidi.., nasi tutaendelea kuziangalia zaidi na this cycle of improvement itaendelea mpaka tutakuwa na the best movies in Africa. Kwa sasa hivi tuko kwenye vicious cycle of poor earnings->-< poor quality over and over. Kwa sasa tujikaze kizalendo na tukaziangalie kwenye cinema halls hivyo hivyo na ubovu wake. lets hold hands and break this vicious cycle. Nawasilisha tena.
Mkuu hapo umeongelea quality tu, vipi kuhusu hadithi (story yenyewe ya muvi)!! Story za muvi zetu karibia zote zinafanana, unataka kuniambia umasikini ndio unaowafanya washindwe hata kuwa wabunifu kutupa story za kusisimua??? Kila muvi ni mapenzi mapenzi mapenzi!!! Hawana jipya, alafu muvi zenyewe ziko predictable sana, yani ukoanza tu kuiangalia unajua itaishia vipi!!!
Tubadilike kwanza kabla ya kuanza kulazimisha zionyeshwe cinema halls.!! Mwisho wa siku ile ni biashara (cinema halls)..!!!
Una maana zile muvi ambazo muongoz wa filamu anatumia dakika 5 kutuonyesha star yuko barabarani.au unazungumzia zile muv ambazo jini kabla ajavuka barabara anatazama kushoto na kulia.movie ambazo ili usikie sauti iko juu au chini.movie zenye party one&2 bila hivo ni bahati kutokea ikawa party one 2.ukitaka hao wenye kumb za sinema walale njaa bas wajaribu kufanya hivo
\Acheni dharau na utumwa,watanzani ni wanafki sana halafu wajuaji kuliko lkn kichwani 0, wanigeria waliaza hivi lkn walibeba chao na kukithamini kwa ubora uliokuwepo wakati huo mpaka wamefika walipo lkn hapa ni dharau tu
Si muziki c filamu humu mnaponda lkn tukiingia majumbani kwenu cd zipo tena fake ukiuliza utasikia za watoto hizo sijui wametoa wapi kumbe ww umewanunukia barabarani
Leo wanamuziki wa kenya na uganda ni mabilionea lkn hawana muziki mzuri kama wetu kinachowabeba ni watu wao kuthamini chao
Acheni dharau kwani hao mahouse girl na wamama wa nyumbani sio watu? Kuna mahouse girl wangapi tanzania wanaoweza kuifanya biashara ya cds fake iwe kwa wingi kama wao tu ndio watazamaji wa movie za kibongo
Acheni dharau na utumwa,watanzani ni wanafki sana halafu wajuaji kuliko lkn kichwani 0, wanigeria waliaza hivi lkn walibeba chao na kukithamini kwa ubora uliokuwepo wakati huo mpaka wamefika walipo lkn hapa ni dharau tu
Si muziki c filamu humu mnaponda lkn tukiingia majumbani kwenu cd zipo tena fake ukiuliza utasikia za watoto hizo sijui wametoa wapi kumbe ww umewanunukia barabarani
Leo wanamuziki wa kenya na uganda ni mabilionea lkn hawana muziki mzuri kama wetu kinachowabeba ni watu wao kuthamini chao
Acheni dharau kwani hao mahouse girl na wamama wa nyumbani sio watu? Kuna mahouse girl wangapi tanzania wanaoweza kuifanya biashara ya cds fake iwe kwa wingi kama wao tu ndio watazamaji wa movie za kibongo
Chema chajiuza kibaya chajitembeza. Yaani nitoke nyumbani kwenda kuangalia movie mbovu kuliko nyanya iliyooza kisa eti ''nawaunga mkono'' wasanii wa nchi yangu? Mbona ukiumwa unakimbilia India na sio Muhimbili ili uwanyanyue madaktari wako ''? Hizi bongo movie zimekuwa ''design'' kuwafurahisha watu wenye viwango vya chini vya iq na si vingine!
Chema chajiuza kibaya chajitembeza. Yaani nitoke nyumbani kwenda kuangalia movie mbovu kuliko nyanya iliyooza kisa eti ''nawaunga mkono'' wasanii wa nchi yangu? Mbona ukiumwa unakimbilia India na sio Muhimbili ili uwanyanyue madaktari wako ''? Hizi bongo movie zimekuwa ''design'' kuwafurahisha watu wenye viwango vya chini vya iq na si vingine!
hizo takwimu za Bil. 12 umezipata wapi?
hakuna mtu mwenye akili timamu ataenda kuangalia Bongo Movie after all watazamaji wakubwa ni ma house girl