Maajabu ya Ajax Amsterdam kukosa ubingwa, hii ingetokea bongo je?

Maajabu ya Ajax Amsterdam kukosa ubingwa, hii ingetokea bongo je?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,712
Reaction score
11,611
Wakuu ukisikia maajabu ya soka ndio haya Ajax Amsterdam ya nchini uholanzi imekosa ubingwa kimaajabu.

Mpaka mechi ya 29 huku zikiwa zimesalia mechi tano pekee, Ajax alikuwa amemuacha mpinzani wake, Psv kwa jumla ya alama tisa.

Mambo yalienda kombo kwani Ajax alipoteza mechi mbili mfululizo na kutoa sare michezo miwili na kisha kushinda mchezo mmoja wa mwisho. Huku mpinzani wake Psv akishida michezo yote mitano na kutwaa ubingwa wa erevidisie.

Sipati picha kama hili lingetokea bongo

23785B16-DB28-4FB7-A4EA-9940A83124A1.jpeg
 
Wakuu ukisikia maajabu ya soka ndio haya Ajax Amsterdam ya nchini uholanzi imekosa ubingwa kimaajabu.

Mpaka mechi ya 29 huku zikiwa zimesalia mechi tano pekee, Ajax alikuwa amemuacha mpinzani wake, Psv kwa jumla ya alama tisa.

Mambo yalienda kombo kwani Ajax alipoteza mechi mbili mfululizo na kutoa sare michezo miwili na kisha kushinda mchezo mmoja wa mwisho. Huku mpinzani wake Psv akishida michezo yote mitano na kutwaa ubingwa wa erevidisie.

Sipati picha kama hili lingetokea bongo

View attachment 3338899
Wakati anamuuzia mhindi mechi mpaka mikeka ikachanika hakujua kuhusu hili la kuja kuukosa ubingwa mwishoni?
 
Amna maajabu uo ni upangaji wa Matokeo. Kuna watu wamefaidika na uo upuuzi ila kwa Wenzetu ilo halita pita Bure.
Usikariri kila kitu,hizo mechi za Ajax alizopoteza mwishoni niliangalia zote,Ajax katandikwa kiuwezo,mfano mechi na Utretch alipigwa vizuri hakuna makandokando walibakiwa na mechi ngumu zote
 
Mpira ndivyo ulivyo.
Unamatokeo ya kikatili mno.

Hakuna Upangaji wa Matokeo wowote wala Kamali.

Inawezekana Ajax walikuwa wanacheza kwa Kutetemeka kuelekea Ubingwa na kusababisha kupoteza alama.
Mengine ni saikoloji tu na Councialling
 
Usikariri kila kitu,hizo mechi za Ajax alizopoteza mwishoni niliangalia zote,Ajax katandikwa kiuwezo,mfano mechi na Utretch alipigwa vizuri hakuna makandokando walibakiwa na mechi ngumu zote
Wewe mbumbumbu katika ayo mambo na yako nje ya uwezo wako tulia, baada ya muda utaelewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom