Coffee
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,304
- 1,313
Yaani kama wanafundishwa chuoni kwao.Hawa watu hawafai hata kusaidiwa wakikutwa kwenye matatizo...dhulma tu...
Yaani kama wanafundishwa chuoni kwao.Hawa watu hawafai hata kusaidiwa wakikutwa kwenye matatizo...dhulma tu...
Dah!!Wanaendesha gari binafsi kama defender na hawafuati vibao vya 50 wakifikiri chombo cha moto kinatii amri bila shuruti.
Shida kiwajua kenge... Ndo inabidi tu wote tuwaone kenge tuNi watu poa tu sema msafara wa mamba kenge hawakosi
Sio wote boya wewe mbona huelewi??!Wote humo humo...
Kuna mmoja alikua anajaribu kumkamata pedeshee mmoja. Pedeshee akasoma namba yake kifuani na kumpigia RPC. RPC akamwambia mpe simu huyo mbwa. Basi pedeshee akampa yule kibaka simu na kumuambia ongea na bosi wako. RPC alimwambia yule bwege, wewe hapo unafanya nini wakati kuanzia juzi ulipangiwa kazi kijiji fulani uswekeni huko ndaani ndaani umasaini. Hebu rudisha simu ya mwenyewe funga mguu ,geuka nyuma uwahi hapa ofisini uchukue barua yako uishie.
Ukiwa unakula na ma RPC na ma RCO nchi utakua umeiweka mfukoni.
Hata nyie hamfai wanao washobokea ni hao hao maboya mi mwenyewe sipendi maraia kama nini vile, hohohohohohoooooooookyna mmoja tulikuwa tunafanya biashara nilipogundua tu ni askari polisi nikabadilisha bei palepale na mwisho nikamwambia siuzi tena mbwa wangu..... nilikuwa namuuzia mbwa katoka kigamboni hadi tegeta lakini alipojitambulisha ni polisi sijui anafanya kazi mbeya , nikabadili gia fasta. SIJUI ANANIFIKIRIAGAJE MAANA HADI LEO ANANISUMBUA LAKINI SITAMSAIDIA KWA CHOCHOTE.
Acha wafe wapungue, maana wanaonea sana
Ukimkuta bado anapumua, unamtwanga jiwe kubwa la kichwa ili afe vizuri kabisa
Primitive thinkingWengine washakaririshwa...POLISI TZ NI UWE HARSH...
polisi mnaosoma hiz comments? mjirekebishe jamanai hii dalili siyo nzuri mkumbuke hawa wanao wachukia wengine wanahudumia wazazi na watoto zenu ambao siyo polisi. kuna madokta, walimu, manesi na kada nyingine nyingi nawao wakiamua kuwatreat ndugu zenu hivyo kweli amani itakuwepo hapo.
Katika watu ninao wachukia zaidi ni hao jamaa,kuna sku kulkuwa na sherehe nyumban vibali vya kupga mziki tulkuwa nanyo wakaja saa 7 na sisi(familia) ndo tulkuwa tumetoka ukumbini kwa Bahati nzur wote tulifikia ndani na kulala nje kulkuwa kuna mziki unaendelea kupgwa baadae wakaja polisi wakapga Risasi juu watu wakakimbia wakamshka mwenye mziki,wakagonga mlango na kutaka tutoke ili watukamate tukagoma kutoka,wakawa wanatshia eti watauvunja mlango,hawa jamaa nguvu nyingi akili hawana
Hapana chief hawa jamaa wanatumika vibaya sana, mimi nikikuta hajafa kwa lweli nammalizia
Ndio maana polisi hawapendwiMara nyingi ajali zinazowahusu polisi...huwaga hazina taarifa za ziada...pale inapotokea gari ya polisi imepata ajali yenyewe...wala hawasemi labda chanzo cha ajali ni UZEMBE WA DEREVA(Askari Mwenyewe)...AU MWENDOKASI...
Unakuta taarifa ambazo hazina hata maana...eti alikuwa anaenda kwao...sasa kwani akiwa anaenda kwao ndio iwe sababu ya ajali...?
ILA HAWA WAKIWAGA KWENYE UNIFORMS ZAO...UTASEMA WAO SIO BINADAM KAMA SISI...ROHO PIA ZINABADILIKA...
Hata nyie hamfai wanao washobokea ni hao hao maboya mi mwenyewe sipendi maraia kama nini vile, hohohohohohooo
hupendi raia kwamba wewe ni mkimbizi au JAMBAZI???
Hupendi raia kwamba wewe ni mkimbizi au JAMBAZI??Hata mimi siwa pendi maraia kama nini vile hohohohohohoooooo kuwa raia ni tabu sana,
Hupendi raia kwamba wewe ni mkimbizi au JAMBAZI??Hata mimi siwa pendi maraia kama nini vile hohohohohohoooooo kuwa raia ni tabu sana,
Hatukutoka,ila mwenye mziki waliondoka nae,alirudi kesho yakeWalivunja au mlitoka..? Shida yao ilkuwa hela lbd
jamaa huwapendi kabisa mapot .... Hii post yako ina matusi ma3 kwa pot Mmoja... Bwege! Mbwa! Kibaka!Kuna mmoja alikua anajaribu kumkamata pedeshee mmoja. Pedeshee akasoma namba yake kifuani na kumpigia RPC. RPC akamwambia mpe simu huyo mbwa. Basi pedeshee akampa yule kibaka simu na kumuambia ongea na bosi wako. RPC alimwambia yule bwege, wewe hapo unafanya nini wakati kuanzia juzi ulipangiwa kazi kijiji fulani uswekeni huko ndaani ndaani umasaini. Hebu rudisha simu ya mwenyewe funga mguu ,geuka nyuma uwahi hapa ofisini uchukue barua yako uishie.
Ukiwa unakula na ma RPC na ma RCO nchi utakua umeiweka mfukoni.