Maajabu ya ajali za Polisi

Maajabu ya ajali za Polisi

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,649
Reaction score
4,756
Mara nyingi ajali zinazowahusu polisi...huwaga hazina taarifa za ziada...pale inapotokea gari ya polisi imepata ajali yenyewe...wala hawasemi labda chanzo cha ajali ni UZEMBE WA DEREVA(Askari Mwenyewe)...AU MWENDOKASI...

Unakuta taarifa ambazo hazina hata maana...eti alikuwa anaenda kwao...sasa kwani akiwa anaenda kwao ndio iwe sababu ya ajali...?

ILA HAWA WAKIWAGA KWENYE UNIFORMS ZAO...UTASEMA WAO SIO BINADAM KAMA SISI...ROHO PIA ZINABADILIKA...
 
Wengi wanajitoa ufahamu.
Wakishakabidhiwa ila manati....kiburi juu
Yaan sijui wanajikutaga kina nani?
Juzi kati hapa nilikuwa na shida polisi, kufika ka mdada eti kananifokea bila ht sababu. Nikikaangalia ka mdada kenyewe kadogo yaan nakazidi umri mbali tu, nikakapuuzia.
Mara akatokea jamaa mmoja hapo nafahamiana nae seems like alikuwa mkubwa kwa cheo. Alivyonipokea basi nacho kikaanza kujiongelesha eti kumbe ulikuwa mgeni wa flan, si ungesema. Mwenyewe nikawa niko busy tu na yule jamaa ht sikukajibu tena wala kukafuatilia.
Ila kaliniboa balaa.
 
Yaan sijui wanajikutaga kina nani?
Juzi kati hapa nilikuwa na shida polisi, kufika ka mdada eti kananifokea bila ht sababu. Nikikaangalia ka mdada kenyewe kadogo yaan nakazidi umri mbali tu, nikakapuuzia.
Mara akatokea jamaa mmoja hapo nafahamiana nae seems like alikuwa mkubwa kwa cheo. Alivyonipokea basi nacho kikaanza kujiongelesha eti kumbe ulikuwa mgeni wa flan, si ungesema. Mwenyewe nikawa niko busy tu na yule jamaa ht sikukajibu tena wala kukafuatilia.
Ila kaliniboa balaa.
Waambie ipo siku wanaweza fokea wakubwa wao wa kazi ohooo...
 
Mara nyingi ajali zinazowahusu polisi...huwaga hazina taarifa za ziada...pale inapotokea gari ya polisi imepata ajali yenyewe...wala hawasemi labda chanzo cha ajali ni UZEMBE WA DEREVA(Askari Mwenyewe)...AU MWENDOKASI...

Unakuta taarifa ambazo hazina hata maana...eti alikuwa anaenda kwao...sasa kwani akiwa anaenda kwao ndio iwe sababu ya ajali...?

ILA HAWA WAKIWAGA KWENYE UNIFORMS ZAO...UTASEMA WAO SIO BINADAM KAMA SISI...ROHO PIA ZINABADILIKA...
Wao wacha walete unafki wabebane ila Mungu hana unafki.
 
Kuna mmoja alikua anajaribu kumkamata pedeshee mmoja. Pedeshee akasoma namba yake kifuani na kumpigia RPC. RPC akamwambia mpe simu huyo mbwa. Basi pedeshee akampa yule kibaka simu na kumuambia ongea na bosi wako. RPC alimwambia yule bwege, wewe hapo unafanya nini wakati kuanzia juzi ulipangiwa kazi kijiji fulani uswekeni huko ndaani ndaani umasaini. Hebu rudisha simu ya mwenyewe funga mguu ,geuka nyuma uwahi hapa ofisini uchukue barua yako uishie.
Ukiwa unakula na ma RPC na ma RCO nchi utakua umeiweka mfukoni.
 
kyna mmoja tulikuwa tunafanya biashara nilipogundua tu ni askari polisi nikabadilisha bei palepale na mwisho nikamwambia siuzi tena mbwa wangu..... nilikuwa namuuzia mbwa katoka kigamboni hadi tegeta lakini alipojitambulisha ni polisi sijui anafanya kazi mbeya , nikabadili gia fasta. SIJUI ANANIFIKIRIAGAJE MAANA HADI LEO ANANISUMBUA LAKINI SITAMSAIDIA KWA CHOCHOTE.
 
Mara nyingi ajali zinazowahusu polisi...huwaga hazina taarifa za ziada...pale inapotokea gari ya polisi imepata ajali yenyewe...wala hawasemi labda chanzo cha ajali ni UZEMBE WA DEREVA(Askari Mwenyewe)...AU MWENDOKASI...

Unakuta taarifa ambazo hazina hata maana...eti alikuwa anaenda kwao...sasa kwani akiwa anaenda kwao ndio iwe sababu ya ajali...?

ILA HAWA WAKIWAGA KWENYE UNIFORMS ZAO...UTASEMA WAO SIO BINADAM KAMA SISI...ROHO PIA ZINABADILIKA...
Nayo hii ni habari.
 
Mara nyingi ajali zinazowahusu polisi...huwaga hazina taarifa za ziada...pale inapotokea gari ya polisi imepata ajali yenyewe...wala hawasemi labda chanzo cha ajali ni UZEMBE WA DEREVA(Askari Mwenyewe)...AU MWENDOKASI...

Unakuta taarifa ambazo hazina hata maana...eti alikuwa anaenda kwao...sasa kwani akiwa anaenda kwao ndio iwe sababu ya ajali...?

ILA HAWA WAKIWAGA KWENYE UNIFORMS ZAO...UTASEMA WAO SIO BINADAM KAMA SISI...ROHO PIA ZINABADILIKA...

Umeongea point mkuu. Alafu wanajisahau wakiwa barabarani wanajiona miungu watu. Kifo ni chetu sote wanapaswa kujua.
 
Back
Top Bottom