Terrible Teen
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 1,234
- 3,543
Ukimkuta bado anapumua, unamtwanga jiwe kubwa la kichwa ili afe vizuri kabisaHawa watu hawafai hata kusaidiwa wakikutwa kwenye matatizo...dhulma tu...
Ukimkuta bado anapumua, unamtwanga jiwe kubwa la kichwa ili afe vizuri kabisaHawa watu hawafai hata kusaidiwa wakikutwa kwenye matatizo...dhulma tu...
Sio wote na ni wachache sanaWengi wanajitoa ufahamu.
Wakishakabidhiwa ila manati....kiburi juu
Hawasikiagi hao.polisi mnaosoma hiz comments? mjirekebishe jamanai hii dalili siyo nzuri mkumbuke hawa wanao wachukia wengine wanahudumia wazazi na watoto zenu ambao siyo polisi. kuna madokta, walimu, manesi na kada nyingine nyingi nawao wakiamua kuwatreat ndugu zenu hivyo kweli amani itakuwepo hapo.
Daaaaahhhhhh...Ukimkuta bado anapumua, unamtwanga jiwe kubwa la kichwa ili afe vizuri kabisa
Hapana chief hawa jamaa wanatumika vibaya sana, mimi nikikuta hajafa kwa lweli nammaliziaDaaaaahhhhhh...
Hii ni hatari sasa chief!.
Hata hivyo Prado sio gari ya safari ndefu na kama unaenda safari ndefu inatakiwa uwe dereva kweli gari haina balance ya kutosha inapokua kwenye mwendo kasi inakua nyepesi kama karatasi tuu...
Kuna mmoja alipanga kwenye nyumba yangu miaka ya 2012 akaanza kuleta ujuha wake kwa wapangaji wenzake na majirani,nilichomfanya hatanisahau kamwe.Huku mtaani ninakoishi wenye nyumba wameambiana hakuna kupangisha aina yoyote ya polisi
Hii ndio dawa yao,na Mimi kuna kamoja kapo pale Central nimekaachia manyoa....kuna dem wangu sajenti ananipelekesha hatari. nataka nimtwange mimba akalee huko
Ibra Shayo kawakomesha kwa style hiiKuna mmoja alikua anajaribu kumkamata pedeshee mmoja. Pedeshee akasoma namba yake kifuani na kumpigia RPC. RPC akamwambia mpe simu huyo mbwa. Basi pedeshee akampa yule kibaka simu na kumuambia ongea na bosi wako. RPC alimwambia yule bwege, wewe hapo unafanya nini wakati kuanzia juzi ulipangiwa kazi kijiji fulani uswekeni huko ndaani ndaani umasaini. Hebu rudisha simu ya mwenyewe funga mguu ,geuka nyuma uwahi hapa ofisini uchukue barua yako uishie.
Ukiwa unakula na ma RPC na ma RCO nchi utakua umeiweka mfukoni.
AiseeeeUkimkuta bado anapumua, unamtwanga jiwe kubwa la kichwa ili afe vizuri kabisa
Kweli kbs, maana ht nilishangaa huyu dada ananifokea kwsbb gani?Waambie ipo siku wanaweza fokea wakubwa wao wa kazi ohooo...
Umenikumbusha mbali sana jamaa angu alikua nayo hiyo yeye alikua akitaka kusafiri ananunua tofali za block kadhaa zingine anaweka pembeni ya siti ya nyuma mbili na tofali zingine anaweka nyuma anazipanga vizuri na akifunika utadhani kuna mzigo kaweka alipokuja kuliuza alishukuru sana hamna gari humo ya safari Mimi mwenyewe unipakii kwenye Prado safari ya mbali labda niendeshe mwenyewe kwa kunyata...Bora ata angeweka magunia hata mawil ya mchanga gar ingetulia
Ndio dawa yao hao...kuna dem wangu sajenti ananipelekesha hatari. nataka nimtwange mimba akalee huko
Kabisaa...R.I.P ila wakiwa kwenye magwanda yao sio watu ni wanyama...