HAPANA,Alikuwa Mzee wa Haki na ndiyo maana Pwani (Kibiti) walimuondoa.
Hata kule Mara walimtoa baada ya kugoma kupelekeshwa na wanasiasa Enzi zile za kesi ya kina Heche na Yule Mwalimu Kabla hajahama CDM.
na kina Matiko. na bulaya.
Huyu Mzee Heche alitokea Kumuelewa Sana Hadi akawa ana mtolea mfano.
baada ya KUONA Yupo kinyume na matakwa yao.ikabidi wampumzishe Ilala Hadi Mauti ina mkuta.
Raia wengi hawaelewi kitu,wanaongea kitu,wasichokijua
wapo baadhi ya Ma RPC wapo vizuri na watu wa Haki kweli.