Maajabu ya ajali za Polisi

Maajabu ya ajali za Polisi

Kuna mmoja alikua anajaribu kumkamata pedeshee mmoja. Pedeshee akasoma namba yake kifuani na kumpigia RPC. RPC akamwambia mpe simu huyo mbwa. Basi pedeshee akampa yule kibaka simu na kumuambia ongea na bosi wako. RPC alimwambia yule bwege, wewe hapo unafanya nini wakati kuanzia juzi ulipangiwa kazi kijiji fulani uswekeni huko ndaani ndaani umasaini. Hebu rudisha simu ya mwenyewe funga mguu ,geuka nyuma uwahi hapa ofisini uchukue barua yako uishie.
Ukiwa unakula na ma RPC na ma RCO nchi utakua umeiweka mfukoni.
Maisha ya hii nchi ipo cku yatanyooka tu...
 
Mzee hao watu road sign na road marks huwa haziwahusu..zinatuhusu ss raia ..usishangae kuona gari ya polisi inaovertake kwenye kona kali au mlumani
Utasema wao ni malaika wanapaa tu...
 
Yaan sijui wanajikutaga kina nani?
Juzi kati hapa nilikuwa na shida polisi, kufika ka mdada eti kananifokea bila ht sababu. Nikikaangalia ka mdada kenyewe kadogo yaan nakazidi umri mbali tu, nikakapuuzia.
Mara akatokea jamaa mmoja hapo nafahamiana nae seems like alikuwa mkubwa kwa cheo. Alivyonipokea basi nacho kikaanza kujiongelesha eti kumbe ulikuwa mgeni wa flan, si ungesema. Mwenyewe nikawa niko busy tu na yule jamaa ht sikukajibu tena wala kukafuatilia.
Ila kaliniboa balaa.
Wakati wa kuondoka ungekapiga konzi
 
Unadhanai wana huo muda.
polisi mnaosoma hiz comments? mjirekebishe jamanai hii dalili siyo nzuri mkumbuke hawa wanao wachukia wengine wanahudumia wazazi na watoto zenu ambao siyo polisi. kuna madokta, walimu, manesi na kada nyingine nyingi nawao wakiamua kuwatreat ndugu zenu hivyo kweli amani itakuwepo hapo.
 
polisi mnaosoma hiz comments? mjirekebishe jamanai hii dalili siyo nzuri mkumbuke hawa wanao wachukia wengine wanahudumia wazazi na watoto zenu ambao siyo polisi. kuna madokta, walimu, manesi na kada nyingine nyingi nawao wakiamua kuwatreat ndugu zenu hivyo kweli amani itakuwepo hapo.
Wajue na wao watakuwa raia tu ipo cku...
 
Katika watu ninao wachukia zaidi ni hao jamaa,kuna sku kulkuwa na sherehe nyumban vibali vya kupga mziki tulkuwa nanyo wakaja saa 7 na sisi(familia) ndo tulkuwa tumetoka ukumbini kwa Bahati nzur wote tulifikia ndani na kulala nje kulkuwa kuna mziki unaendelea kupgwa baadae wakaja polisi wakapga Risasi juu watu wakakimbia wakamshka mwenye mziki,wakagonga mlango na kutaka tutoke ili watukamate tukagoma kutoka,wakawa wanatshia eti watauvunja mlango,hawa jamaa nguvu nyingi akili hawana
Walivunja au mlitoka..? Shida yao ilkuwa hela lbd
 
Hata hivyo Prado sio gari ya safari ndefu na kama unaenda safari ndefu inatakiwa uwe dereva kweli gari haina balance ya kutosha inapokua kwenye mwendo kasi inakua nyepesi kama karatasi tuu...
Si wangesema chanzo cha ajali...ni UZEMBE WA ASKARI...KUFICHA MWENZAO UOVU WAKE NI DOUBLE STANDARDS...
 
Kweli kbs, maana ht nilishangaa huyu dada ananifokea kwsbb gani?
Na kapata wapi ujasiri wa kumfokea mtu asiemfaham?
Na je ukienda hufahamiani na mtu hapo ndio hupati huduma nzuri?
Wengine washakaririshwa...POLISI TZ NI UWE HARSH...
 
Kuna mmoja alikua anajaribu kumkamata pedeshee mmoja. Pedeshee akasoma namba yake kifuani na kumpigia RPC. RPC akamwambia mpe simu huyo mbwa. Basi pedeshee akampa yule kibaka simu na kumuambia ongea na bosi wako. RPC alimwambia yule bwege, wewe hapo unafanya nini wakati kuanzia juzi ulipangiwa kazi kijiji fulani uswekeni huko ndaani ndaani umasaini. Hebu rudisha simu ya mwenyewe funga mguu ,geuka nyuma uwahi hapa ofisini uchukue barua yako uishie.
Ukiwa unakula na ma RPC na ma RCO nchi utakua umeiweka mfukoni.
Hahah kibaka ,mbwa dah
 
Back
Top Bottom