swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,251
- 1,467
Ni maajabu kwa twiga mnyama mkubwa tena wa kutisha kupakiwa ndani ya ndege na kusafirishwa nje ya nchi.
Angekuwa twiga mdogo tungesema labda lakini twiga mkubwa ni maajabu
haina shaka hili liingizwe kwenye kitabu cha rekodi za duni Guiness na liingizwe liwe la nane kama ajabu la dunia ili kuwe na maajabu 8 ya dunia.
Naishukuru serikali ya ccm kutuingiza katika rekodi ya dunia.
Angekuwa twiga mdogo tungesema labda lakini twiga mkubwa ni maajabu
haina shaka hili liingizwe kwenye kitabu cha rekodi za duni Guiness na liingizwe liwe la nane kama ajabu la dunia ili kuwe na maajabu 8 ya dunia.
Naishukuru serikali ya ccm kutuingiza katika rekodi ya dunia.