Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 729
twiga kusafirishwa kwa
ndege siajabu kwakuwa kuna ndege kubwa zinazotumika kusafirishia
mizigo.ila kwa hili la ndege ya malaysia ndio linapaswa kuwekwa kwenye
rekodi ya maajabu ya dunia.
Hata hilo la ndege ya Malaysia sio ajabu kwa kuwa sio ndege ya kwanza kupotea zipo ndege nyingi zilizopotea kabisa mpaka leo na zipo zilizopatikana baada ya miaka mingi tu.