Si maajabu. Hawa jamaa inaonekana ni maswahiba wanaosaidiana kila mtu kwa nafasi yake. Huenda kuna uhaba wa chakula hivyo twiga anampa kampani rafiki yake lao ayafikie majani na kujishibisha. Inapendeza sana. Wakati binadamu tunauawana wanyama wanaokoana.