Maajabu, Obama amtaka Trump aweke sheria kali, ...

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Maajabu hayaishi Dunia hii, baada ya shambulio la risasi huko El Paso na Dayton USA, raisi aliyepita Obama ambaye aliongoza miaka 8 amemlaumu Raisi D.Trump kwa kushindwa kupitisha sheria kali dhidi ya umilikaji wa Silaha kali.

Sasa kwa nini yeye hakufanya alipokuwa Raisi wa USA? Ikumbukwe kwamba kipindi cha kwanza Obama alikuwa na 60% majority congress, sasa kwa nini hakubadilisha hizo Sheria leo hii anamlaumu D.Trump?


 
Native america ndio hawa taki iyo sheria wote democrats na republican wala sio abari ya majority kwenye congress. Yani marekani weupe ya vyama vyote hawaitaki
 
Maajabu hayaishi Dunia hii, baada ya shambulio la risasi huko El Paso na Dayton USA, raisi aliyepita Obama ambaye aliongoza miaka 8 amemlaumu Raisi D.Trump kwa kushindwa kupitisha sheria kali dhidi ya umilikaji wa Silaha kali.

Sasa kwa nini yeye hakufanya alipokuwa Raisi wa USA? Ikumbukwe kwamba kipindi cha kwanza Obama alikuwa na 60% majority congress, sasa kwa nini hakubadilisha hizo Sheria leo hii anamlaumu D.Trump?



Wakati wa Obama, aliweka sheria kalia za kumiliki Silaha, sasa alipokuja Trump akalegeza masharti.
Usijiaibishe zungumza kile unachokijua
 
Wakati wa Obama, aliweka sheria kalia za kumiliki Silaha, sasa alipokuja Trump akalegeza masharti.
Usijiaibishe zungumza kile unachokijua


Weka ushahidi wa Sheria ya umiliki silaha iliyowekwa na Obama na kuondolewa/legezwa na Trump.
 
Weka ushahidi wa Sheria ya umiliki silaha iliyowekwa na Obama na kuondolewa/legezwa na Trump.
Kama unahitaji tafuta wewe ushahidi, mimi naelewa baada ya yale Mauaji ya shule Obama aliweka sheria za umiliki silaha. Alipokuja Trump alilegeza sheria. Pamoja na sheria Health Inshurerance alitaka kuifuta. Wewe tafuta. Sasa kama unao uhakika wa ulichkisema weka huo ushahidi
 
Kama unahitaji tafuta wewe ushahidi, mimi naelewa baada ya yale Mauaji ya shule Obama aliweka sheria za umiliki silaha. Alipokuja Trump alilegeza sheria. Pamoja na sheria Health Inshurerance alitaka kuifuta. Wewe tafuta. Sasa kama unao uhakika wa ulichkisema weka huo ushahidi


Hiyo ya health inajulikana, lkn Sheria ya Silaha sijawahi kusikia mahali ambapo Obama akifuta/badilisha chochote.
 
Kwa yeye kutosaini hiyo sheria haimaanishi ndio asiongee ukweli anaouongea
 
Na ujue hayo matukio hayakuwepo sana, yameanza zaidi 2013/14 wakati ambapo Congress ilikuwa chini ya GOP, na kama unakumbuka akina Mitch na NRA walianza midahalo ya kumponda Obama alivyotaka sheria ibadilishwe.
Maajabu hayaishi Dunia hii, baada ya shambulio la risasi huko El Paso na Dayton USA, raisi aliyepita Obama ambaye aliongoza miaka 8 amemlaumu Raisi D.Trump kwa kushindwa kupitisha sheria kali dhidi ya umilikaji wa Silaha kali.

Sasa kwa nini yeye hakufanya alipokuwa Raisi wa USA? Ikumbukwe kwamba kipindi cha kwanza Obama alikuwa na 60% majority congress, sasa kwa nini hakubadilisha hizo Sheria leo hii anamlaumu D.Trump?


 
Hizo Sheria za kumiliki bunduki zije na huku kwetu maana nimechoka kutundika rungu langu Kwa Dari!

Wakilegeza tu, nanunua Ile ya Snipers na ka-AK 47 tuone Ka mbu wataingia geto langu tena!
 
Wakati wa Obama, aliweka sheria kalia za kumiliki Silaha, sasa alipokuja Trump akalegeza masharti.
Usijiaibishe zungumza kile unachokijua
Ni sheria ipi kuhusu sheria Obama aliweka na trump akalegeza kupitia sheria IPI taja na mwaka wa hizo sheria ili iwe rahisi kuzisearch.
 
Hiyo ya health inajulikana, lkn Sheria ya Silaha sijawahi kusikia mahali ambapo Obama akifuta/badilisha chochote.
Basi sema hujawahi kusikia lakini usipinge, mimi pia sizijui sheria marekani, lakini nimewasikia wajerumani wakimlaumu Trump wakisema amesahau kua wakati wa Obama sheria zilizowekwa kudhibiti silaha alipokuja yeye akalegeza masharti? Halafu wanamlaumu kuwa mpakka sasa hajakiri kuwa chini yake Ubaguzi umezidi na yeye ndio anaupalilia
 
Basi sema hujawahi kusikia lakini usipinge, mimi pia sizijui sheria marekani, lakini nimewasikia wajerumani wakimlaumu Trump wakisema amesahau kua wakati wa Obama sheria zilizowekwa kudhibiti silaha alipokuja yeye akalegeza masharti? Halafu wanamlaumu kuwa mpakka sasa hajakiri kuwa chini yake Ubaguzi umezidi na yeye ndio anaupalilia


Umesikia Wajerumani wanasema?????? Hapa naongelea USA, hiyo ni ishu sensitive sana iko kwenye Katiba ya USA tena ni namba 2 kwenye Katiba hivyo kama hiyo Sheria ingeguswa isingepita kimya na ni pande zote mbili, kama Trump angeondoa ambacho Obama alibadilisha isingepita kimya hivyo, hii la Silaha kwa USA ni zaidi ya Obamacare hivyo ni lazima ingetrend sana!
 
Katika katiba ya marekani kumiliki silaha ni haki ya msingi.
Huwezi kufuta hii sheria hata iweje
 
Back
Top Bottom