Maajabu na vituko vya mnyama fisi

Maajabu na vituko vya mnyama fisi

Na haya mahusiano mnayaelezeaje bandugu?

ccm-fisi-jpg.510677


CCM na manyang'au, looo!​
 
Swali la msingi..kwa nn huwa wanahusishwa sana na mambo ya kishirikina...mfano mitaani kuna ushilawadu wa watu kumiliki fisi na kuambatanishwa na iman ya kishirikina
 
Vp kuhusu fisi watu? wale wa kishilikina
Hao wapo ila sema ni kitengo kinchohitaji Maelezo ya kina kutoka kwa mkuu mshana jr , kama Vip ngoja tu "cc" ujumbe huu.

By the way, OT -out of point: sipati Picha fisi apate msambwanda kama huo kwa avatar yako mkuu bullar ,aisee wanaweza asiende mawindo kabisa akizingatia sheria ya abiria chunga mzigo wako.
 
Swali la msingi..kwa nn huwa wanahusishwa sana na mambo ya kishirikina...mfano mitaani kuna ushilawadu wa watu kumiliki fisi na kuambatanishwa na iman ya kishirikina
Mkuu mshana jr kwa Mara nyingine ufafanuzi wake unahitajika, pls mkuu tunaomba utusaidie juu ya hii dhana.
 
Swali la msingi..kwa nn huwa wanahusishwa sana na mambo ya kishirikina...mfano mitaani kuna ushilawadu wa watu kumiliki fisi na kuambatanishwa na iman ya kishirikina
Mkuu mshana jr kwa Mara nyingine ufafanuzi wake unahitajika, pls mkuu tunaomba utusaidie juu ya hii dhana.
 
Fuvu la kichwa chake nasikia kina mvuto wa biashara. Yani kama una duka lile fuvu linakaushwa vizuri unalitafutia engo ndani ya duka unaliweka. Utauza mpaka ushindwe wewe
Utauza mpaka ujiuze
 
huwa wana nishangaza sana bila kampan yan yeye hakuna. kitu ni muoga balaaaaaa
 
Yaani kwa uandishi huu hata kama una stress zinaisha ghafla maana itakubidi utabasam na kucheka mwenyewe nimeenjoy sana Sifa za huyu mnyama hazina utofauti na Baba mwenye NYUMBA na mwanae mpendwa cyo kwa mishe mishe hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom