Huo ni mkavu umehamishwa na mawimbi huenda kusimama kumechangiwa na kushindiliwa na mchanga,ungekuwa mbichi hapo maajabu yangekuwepo.
100%Huo ni mkavu umehamishwa na mawimbi huenda kusimama kumechangiwa na kushindiliwa na mchanga,ungekuwa mbichi hapo maajabu yangekuwepo.
Jamaa yupo sawa,kwani kama usiku kulitokea kitu kama Tsunami hakiwezi kuhamisha mti eneo refu pamoja na mchanga mwingi wa kuushindilia huo mti?Points zako ni weak sana kiongozi.
Kuna mchanga wa kushindilia mti usitikisike?
Na vipi kuhusu distance covered?
Bora niwe dhaifu kuliko kuushangaa mti mkavu ukihama mimi nimekaa fukwe zote za bahari na ziwa kilichowashangaza nyie ni ilivyo simama nenda baharini kajaribu kuhamisha kisiki kilichojishindiliaPoints zako ni weak sana kiongozi.
Kuna mchanga wa kushindilia mti usitikisike?
Na vipi kuhusu distance covered?
Distance covered is nothing if you consider the power of sea waves.Points zako ni weak sana kiongozi.
Kuna mchanga wa kushindilia mti usitikisike?
Na vipi kuhusu distance covered?
Na ndio sababu waafrika tunadharauliwa kitu hujakichunguza tayari ushakurupuka,haya wewe unadhani ni nini?Points zako ni weak sana kiongozi.
Kuna mchanga wa kushindilia mti usitikisike?
Na vipi kuhusu distance covered?
Bora niwe dhaifu kuliko kuushangaa mti mkavu ukihama mimi nimekaa fukwe zote za bahari na ziwa kilichowashangaza nyie ni ilivyo simama nenda baharini kajaribu kuhamisha kisiki kilichojishindilia
Nyie kizazi cha watoto mliopata elimu finyu mna matatzo sana kufikiri na ku visualise natural forces.Maajabu ya dunia Kigamboni, Mjimwema mti wa mkoko umehama kutoka baharini kuja nchi kavu.
View attachment 1682442