Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Baada ya kurudi chooni, mlevi akaanza kumhadithia mke wake.
Mlevi: Mke wangu, chooni nimeona maajabu. Nimefungua mlango, taa ikawaka. Nikajaribu kuufunga, taa imezima. Nilipofungua tena imewaka, mi nikaogopa kuingia chooni, nikakojoa nikiwa nimesimama pale pale mlangoni.
Mke (huku akiwa kachukiwa akaanza kusema): Sh**z, mlevi mkubwa wee, ushaenda kukojoa ktk FRIJI...
Mlevi: Mke wangu, chooni nimeona maajabu. Nimefungua mlango, taa ikawaka. Nikajaribu kuufunga, taa imezima. Nilipofungua tena imewaka, mi nikaogopa kuingia chooni, nikakojoa nikiwa nimesimama pale pale mlangoni.
Mke (huku akiwa kachukiwa akaanza kusema): Sh**z, mlevi mkubwa wee, ushaenda kukojoa ktk FRIJI...