mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,300
- 523
Ukistaajabu ya Musa,,, wakazi wa kijiji cha Malindi nchini Kenya wamegubikwa na hofu na woga baada ya tukio la kuku jike ambaye alikuwa amezaa mara mbili na kulea vifaranga vyake ghafla akaanza kuwika kama jogoo na kuanza kuwasarandia kuku wengine majike akiwapanda kama jogoo afanyavyo!!!mmiliki wa kuku huyo anaogopa hata kumchinja na amemtengea sehemu yake na kumuwekea makuku jike ambao wameanza kutaga!!!wataalam wa mifugo mnasemaje juu ya mabadiliko hayo au ndo mambo ya ushoga nayo yapo kwa wanyama pia!! Source amka na BBC leo alfajiri