Maajabu 10 ya CHADEMA

Maajabu 10 ya CHADEMA

Lizaboni

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
33,901
Reaction score
20,416
1. Kuanzisha Operesheni kibao ilhali hakuna hata moja iliyofanikiwa.

2. Kuongozwa na Mwenyekiti ambaye ana elimu ya Darasa la Saba.

3. Kumteua mtu kugombea Urais ambaye hana ABC za chama chake.

4. Kuongozwa na Katibu Mkuu ambaye hana dira wala mwelekeo. Hana hata power na hajui atendalo

5. Kukusanya oil chafu na kuweka kwenye gari lao wakategemea matokeo mazuri

6. Kuachana na ajenda iliyowapa umaarufu kwa muda mrefu kwa lengo la kumsitiri mtu mmoja

7. Kuishi kwenye nyumba ya Kupanga kama Makao Makuu huku wakipata ruzuku kibao.

8. Kushirikiana na mke wa jirani ili kumkandamiza mumewe

9. Kushinikiza kudai Katiba Mpya ilhali ya kwao ina viraka kibao

10. Kutegemea chama kitapata umaarufu kupitia kwa watu waliochoka na walioishiwa pumzi
 
1. Kuanzisha Operesheni kibao ilhali hakuna hata moja iliyofanikiwa.

2. Kuongozwa na Mwenyekiti ambaye ana elimu ya Darasa la Saba.

3. Kumteua mtu kugombea Urais ambaye hana ABC za chama chake.

4. Kuongozwa na Katibu Mkuu ambaye hana dira wala mwelekeo. Hana hata power na hajui atendalo

5. Kukusanya oil chafu na kuweka kwenye gari lao wakategemea matokeo mazuri

6. Kuachana na ajenda iliyowapa umaarufu kwa muda mrefu kwa lengo la kumsitiri mtu mmoja

7. Kuishi kwenye nyumba ya Kupanga kama Makao Makuu huku wakipata ruzuku kibao.

8. Kushirikiana na mke wa jirani ili kumkandamiza mumewe

9. Kushinikiza kudai Katiba Mpya ilhali ya kwao ina viraka kibao

10. Kutegemea chama kitapata umaarufu kupitia kwa watu waliochoka na walioishiwa pumzi

Nikiangalia hayo maajabu hakuna hata moja la kweli.Na pili hakuna mahali CCM ilipojenga ofisi miaka 50 sasa.Hayo majengo mnayoyatumia ni majengo ya serikali.
 
Hushangai maajabu ya ccm kuleta maji ya kuwasha kwenye uchaguzi badala ya ambulance
 
Tuzungumze juu ya uchumi wetu kwa sasa tuweke siasa pembeni, Nchi inazama ktk dimbwi la umasikini kwa kasi ya kutisha.
Kwa sasa tupo busy kujenga Reli ya Kati, kununua Ndege, kujenga madaraja, kupambana na ufisadi, kutoa elimu bure. Nk. Hayo mengine utajadili wewe
 
CCM inatumia majengo ya serikali? Unaumwa wewe

NIngekuwa naumwa ningekuwa hospitali.Niambie lini CCM ilijenga jengo??

For your information majengo hayo yote yalijengwa kwa michango ya watanzania,enzi za chama kushika hatamu.Na kila jengo ilikuwa kwa ajili ya chama na serikali.Hivyo majengo yote ya CCM ni majengo ya serikali hakuna jengo lililojengwa na CCM.

Pole mtoto kinda utajuaje issue za enzi ya mwalimu.?
 
Kwa sasa tupo busy kujenga Reli ya Kati, kununua Ndege, kujenga madaraja, kupambana na ufisadi, kutoa elimu bure. Nk. Hayo mengine utajadili wewe

Mko busy kutukana hadharani bila kuwa na mission wala vision.Ni kama gari lililokosa mwelekeo.
 
Ajabu kubwa zaidi ni lile la kula matamshi yao pale oktoba 2015
 
Huyo anaesema ccm inatumia majengo ya serikali ni raia wa nchi hii au ? Au ni wale wa kutumwa kusema chochote
 
Uchumi unayumba nyie mnakalia chadema. Uchaguzi umeshaisha, wawekezaji hao wanatimka
CCM walituhaid watajenga viwanda na hii ndiyo fursa ya serikali yetu kujenga viwanda.
Teh teh

KUPATA MAENDELEO CHINI YA UTAWALA WA CCM NI KAZI NZITO SANA NI SAWA NA NGAMIA KUPENYA KWENYE TUNDU LA SINDANO.
Mkuu Lizaboni uchaguzi umeshaisha, na mukulu kasema siasa mpaka 2020 lkn ww kila siku siasa tu. Ni muda wa kujadili tutaikomboaje Tz yetu.
Kuwajadili chadema haiwezi kuongeza kitu chochote kwenye uchumi wetu na pia ni woga wa kiwango cha phd.
Jiamini usiwe kama mfanyabiashara wa madawa ya kulevya.
 
Back
Top Bottom