Maajabu 10 ya CHADEMA

Maajabu 10 ya CHADEMA

Uchumi unayumba nyie mnakalia chadema. Uchaguzi umeshaisha, wawekezaji hao wanatimka
CCM walituhaid watajenga viwanda na hii ndiyo fursa ya serikali yetu kujenga viwanda.
Teh teh

KUPATA MAENDELEO CHINI YA UTAWALA WA CCM NI KAZI NZITO SANA NI SAWA NA NGAMIA KUPENYA KWENYE TUNDU LA SINDANO.
Mkuu Lizaboni uchaguzi umeshaisha, na mukulu kasema siasa mpaka 2020 lkn ww kila siku siasa tu. Ni muda wa kujadili tutaikomboaje Tz yetu.
Kuwajadili chadema haiwezi kuongeza kitu chochote kwenye uchumi wetu na pia ni woga wa kiwango cha phd.
Jiamini usiwe kama mfanyabiashara wa madawa ya kulevya.
Mkuu, maendeleo hayaji tu kama mvua. Yanahitaji mipango thabiti na makini. Ndio maana mpaka sasa CHADEMA hamna maendeleo yoyote licha ya kupata fedha nyingi za ruzuku. Maendeleo hayaji kwa kuwa na fedha nyingi bali ni mipango thabiti na mikakati ya kuitekeleza
 
Nikiangalia hayo maajabu hakuna hata moja la kweli.Na pili hakuna mahali CCM ilipojenga ofisi miaka 50 sasa.Hayo majengo mnayoyatumia ni majengo ya serikali.
Wa najua basi si wanaropoka tu
 
Uchumi unayumba nyie mnakalia chadema. Uchaguzi umeshaisha, wawekezaji hao wanatimka
CCM walituhaid watajenga viwanda na hii ndiyo fursa ya serikali yetu kujenga viwanda.
Teh teh

KUPATA MAENDELEO CHINI YA UTAWALA WA CCM NI KAZI NZITO SANA NI SAWA NA NGAMIA KUPENYA KWENYE TUNDU LA SINDANO.
Mkuu Lizaboni uchaguzi umeshaisha, na mukulu kasema siasa mpaka 2020 lkn ww kila siku siasa tu. Ni muda wa kujadili tutaikomboaje Tz yetu.
Kuwajadili chadema haiwezi kuongeza kitu chochote kwenye uchumi wetu na pia ni woga wa kiwango cha phd.
Jiamini usiwe kama mfanyabiashara wa madawa ya kulevya.
mkuu, umemeliza kila kitu hata sina cha kujazia Nyama Tena, BG UP.
 
Nikiangalia hayo maajabu hakuna hata moja la kweli.Na pili hakuna mahali CCM ilipojenga ofisi miaka 50 sasa.Hayo majengo mnayoyatumia ni majengo ya serikali.
Hahahaaaaa.....Serikali chini ya Ccm...we vepeeee
 
NIngekuwa naumwa ningekuwa hospitali.Niambie lini CCM ilijenga jengo??

For your information majengo hayo yote yalijengwa kwa michango ya watanzania,enzi za chama kushika hatamu.Na kila jengo ilikuwa kwa ajili ya chama na serikali.Hivyo majengo yote ya CCM ni majengo ya serikali hakuna jengo lililojengwa na CCM.

Pole mtoto kinda utajuaje issue za enzi ya mwalimu.?
Umesema majengo yote ni ya chama na serikali!??? Sasa chama gani kama cy CCM?? Ukawa hadi mje mlie meeee....ndo labda mtaongoza nchi
 
Hahahaaaaa.....Serikali chini ya Ccm...we vepeeee

Na mali za serikali zikaporwa ile dhambi ya uporaji ikaingi mpaka kwa wanachama wake.Hili nalo ni ajabu kubwa sana la CCM
 
Maajabu ya CCM: Kutawala kwa zaidi miaka 50 huku nchi ikiwa itepotea kwenye umaskini kwa kutisha...!!!
 
Umesema majengo yote ni ya chama na serikali!??? Sasa chama gani kama cy CCM?? Ukawa hadi mje mlie meeee....ndo labda mtaongoza nchi

Hakuna kitu hapo.KUna siku mtayarudisha yote hayo.Na kama kulia Meeeeeeeeeeeeeeeeee UVCCM na wanachama wa CCM ndiyo mnalia.Siye wengine tulishajua Dodoma wine ni ile ile hata ikiwekwa kwenye glass mpya ni ile ile.
 
Ninachofahamu ni mapenzi yakisukuma!!inatakiwa nguvu!hiyo sio hoja! Ngumu kumpata bwana badili Mbinu!!!
 
Kuwapa majina mabovu watu wanaorudi kundini eti " ngombe wenye mikia iliyokatwa"
 
Kushindwa kulipa madeni sugu huku chama kinaingiza ma millioni ya ruzuku kila mwezi
 
Back
Top Bottom