Maajabu 10 ya CHADEMA

Maajabu 10 ya CHADEMA

Watetezi ktk hii thread!!!ng"ombe waliokatwa mkia!!! Nzi wa kijan mnakaz!bora Ndalichako kalijua hili coz Na vidgree vyenu vya chapati ndio mnapost pumba humu!!!Nchi ya viwanda;!!!
 
12. Kuwa na wagombea Urais na makamu wake, uspika, wote wa kukodi.
 
11. watu mjitegemee pesa ya tetemeko kagera
haipo
12. kufatilia waliosoma kupitia diploma wakati wengi wao kwenye lile jumba hata diploma ni ya kuunga
13 kuwaita watoto wa watu vi.laza juzi tu ikadhibitishwa
14 tuhamie dodoma jamani aiiiiiiii hatuwezi kuishi dar na ukawa
15 tubane matumizi jamani hakuna kusafiri aiiiiii kumbe (am a politicians.) queen Elizabeth unatuonea mwangaluka mayoooo
16 vijana wauza kofia kuwa na kazi ya ziada kuanzisha mada nyingi iwezekanavyo ziwe na miguu wala vichwa anzisheni tu
17 tunabana matumizi ila huyu profeseliii lazima alindwe na yule kaka yake yuleee wa Kuwait lazima kwa gharama zozote na hasirudi tena huku
18 ni mengiiii endeleeni
 
11. watu mjitegemee pesa ya tetemeko kagera
haipo
12. kufatilia waliosoma kupitia diploma wakati wengi wao kwenye lile jumba hata diploma ni ya kuunga
13 kuwaita watoto wa watu vi.laza juzi tu ikadhibitishwa
14 tuhamie dodoma jamani aiiiiiiii hatuwezi kuishi dar na ukawa
15 tubane matumizi jamani hakuna kusafiri aiiiiii kumbe (am a politicians.) queen Elizabeth unatuonea mwangaluka mayoooo
16 vijana wauza kofia kuwa na kazi ya ziada kuanzisha mada nyingi iwezekanavyo ziwe na miguu wala vichwa anzisheni tu
17 tunabana matumizi ila huyu profeseliii lazima alindwe na yule kaka yake yuleee wa Kuwait lazima kwa gharama zozote na hasirudi tena huku
18 ni mengiiii endeleeni
 
11. watu mjitegemee pesa ya tetemeko kagera
haipo
12. kufatilia waliosoma kupitia diploma wakati wengi wao kwenye lile jumba hata diploma ni ya kuunga
13 kuwaita watoto wa watu vi.laza juzi tu ikadhibitishwa
14 tuhamie dodoma jamani aiiiiiiii hatuwezi kuishi dar na ukawa
15 tubane matumizi jamani hakuna kusafiri aiiiiii kumbe (am a politicians.) queen Elizabeth unatuonea mwangaluka mayoooo
16 vijana wauza kofia kuwa na kazi ya ziada kuanzisha mada nyingi iwezekanavyo ziwe na miguu wala vichwa anzisheni tu
17 tunabana matumizi ila huyu profeseliii lazima alindwe na yule kaka yake yuleee wa Kuwait lazima kwa gharama zozote na hasirudi tena huku
18 ni mengiiii endeleeni
 
Haya ni maajabu ya chama gani? (1) Katiba siyo kipaumbele cha nchi, (2) Makaburi mengine marufuku kuyafukua, tutashindwa kuyafukia (3) wanachama kujadili siasa kabla ya 2020 wakati mwenyekiti wao kasema siasa hadi 2020 (4) Kuota nchi ya viwanda bila kilimo cha kisasa na elimu bora (5) Kununua ndege kuhudumia 5% ya wananchi badala ya pembejeo kuhudumia 85% ya wananchi (6) Kula rambirambi za wahanga wa tetemeko la kule kwetu (7) Kumpa mtuhumiwa wa wizi wa Rada ya mabilioni kututungia na kutuandikia katiba ya nchi (8) Kutupilia mbali maoni ya wananchi juu ya katiba ya nchi yao (9) kuwa na mwanachama aitwaye Jeechaa (10) Kiongozi wake mkuu kugoma kwenda kuwapa pole wafiwa na wahanga wa tetemeko la ardhi kule...... (11) kugeuza viwanja vyote vya michezo, ofisi na majengo yaliyojengwa kwa kodi za watanzania wote na kufanya vyote hivi kuwa ni vyake.
 
Mbona Trump alikua hana ABC za chama cha Republican, Acha siasa za majitaka
 
Whether negative or Positive .....this is Free .Publicity from Gambas ..........CHADEMA inasikika kila siku , kuna watu wanapitia headline za thread tu hawasomi content ....wanaikuta CHADEMA kuliko CCM
 
Back
Top Bottom