Mr. Masasi
Member
- May 12, 2011
- 53
- 4
Habari wanajamii? Ebana nasikia kuna ajira mpya za hao watalamu kuanzia mwezi ujao ktk hzo wilaya, japo mm sina uhakika lakn kunakigogo mmoja anayefanya kaz mkoa mpya wa simiyu ameniambia na kunitaka niandae hela isiyopungua laki 3 kwa maelezo ya kwamba hyo hela inapelekwa mahala na co rushwa ya kupata ajira. Sasa kwa kuwa mm sina uhakika zaidi wenye taarifa naomba wawajuze wana jf. Ahsanteni