Hahahahaha jamaa anataka Tena kula msosi wa shemeji amle na yeye tuoneane huruma sisi wanaume wote wapambanajiHahahah,majamaa mna roho mbaya ngoja nikuelekeze kuna sehemu inaitwa Malikusema maeneo ya mlango1 Mwanza jiko la 3 toka kulia mie napajua kwa shemeji yangu karibu tumuunge mkono
Hapana sio wote wafanyakazi Ila kamali haichagui wew ni nan unaliwa Kama kawaida na ukiwa unacheza unakua na matumaini fulani utakula na kila Mara unakosa na siku zinasonga tu mkuu pia unaidumaza Sana akili katika kutafuta michongo mingine trust meNaona huu uzi ni kwa wale wenye uwezo wa kuingiza kipato namaanisha wenye kazi. Sisi majobless sijui tufanye nini kuacha maana unaokoteza ka jero unaona ngoja nijaribu bahati yangu
Upo mkoa gani? Mimi kwa sasa nipo Mbeya kwa kazi maalum za kiofisi.Asante kwa ushauri boss ukiniingia vzr nitakutafuta ingawa nipo mikoa ya nyanda za juu kusini
Kweli kabisaHahahahaha jamaa anataka Tena kula msosi wa shemeji amle na yeye tuoneane huruma sisi wanaume wote wapambanaji
Unataka ukafyeke hiyo 2.1M ya mwanetuUpo mkoa gani? Mimi kwa sasa nipo Mbeya kwa kazi maalum za kiofisi.
Iringa hapo tunakuja kesho. But kituo cha kazi ni nje kidogo ya mji.Mkoa wa iringa boss
🤣🤣🤣🤣Hahahah,majamaa mna roho mbaya ngoja nikuelekeze kuna sehemu inaitwa Malikusema maeneo ya mlango1 Mwanza jiko la 3 toka kulia mie napajua kwa shemeji yangu karibu tumuunge mkono
Naomba kuungana nanyi kwenye kazi. SeriousIringa hapo tunakuja kesho. But kituo cha kazi ni nje kidogo ya mji.
Usipotumia pesa unalemaa. Lakini unapotumia ndiyo unapata nguvu ya kuzisaka zaidi. Very simple logic. Sasa huyu anataka eti anunue pikipiki. Hii ni akili kweli? Of all investments, pikipiki?Hongera zako mkuu...kazana usilegeze matumizi hayo
Shida sio kutumia shida ni aina ya matumiziUsipotumia pesa unalemaa. Lakini unapotumia ndiyo unapata nguvu ya kuzisaka zaidi.
Kwahiyo tunaomiliki toyo unatuona hatuja invest eti? Au unataka wote tu invest kwenye mabasi ya mikoani?Usipotumia pesa unalemaa. Lakini unapotumia ndiyo unapata nguvu ya kuzisaka zaidi. Very simple logic. Sasa huyu anataka eti anunue pikipiki. Hii ni akili kweli? Of all investments, pikipiki?
Pamoja Sana kamandaKuwatambua adui zako ni ushindi.
Hapo umeshashinda mkuu, kaza na songa mbele.
Mkuu alishasema hakuna raha, ni mwendo wa kujenga uchumi na wewe umeshaonyesha njia kwa wengi.
Tambua adui zako wa maendeleo, pambana nao nabkisha songa mbele