Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,431
Duh ! Eee bhana eeee !!!
Tanzania kuanza kupeleka mitumba ulaya hivi karibuni .Makusanyo yamepanda sana n.a. viwander vimeanza kupandisha uchumi.tunakaribia uchumi wa kati
Tanzania kuanza kupeleka mitumba ulaya hivi karibuni .Makusanyo yamepanda sana n.a. viwander vimeanza kupandisha uchumi.tunakaribia uchumi wa kati
Tunataka vyeti vya Daudi Bashite kutoka Call Me J.Hayo maswali kamuulize Mbowe
akuonyeshe vyeti
Tunataka vyeti vya Daudi Bashite kutoka Call Me J.Hayo maswali kamuulize Mbowe
akuonyeshe vyeti
umemsahau huyu shehe wetu wabongokuna mtu aliniambia ukimuona tu mrisho mpoto,banana zorro na huyo tid ktk hafla iliyoandaliwa na kiongozi wa serikali ujuwe ni "business as usual".
yaani hapo lazima liwe ni tukio la kupangwa...hata zile sifa wanazomuimbia mgeni rasmi ktk tungo yao huwa ni mchongo ambao umepangwa kabla kati ya huyo mgeni na hao akina mpoto.
rejea siku ambayo mrisho mpoto alimuita Jpm "sizonje" alipokuwa anatumbuiza live pale ikulu ktk tukio mojawapo ambalo lilirushwa live na vituo vya luninga nchini.
Heheheeheeeeeee......hii mupya... kuadhimisha mwaka mmoja wa rc
Uchelewi kusikia mipasho na vijembe.
Mnataka kama kina nani!!Tunataka vyeti vya Daudi Bashite kutoka Call Me J.
Siyo wivu. tunajaribu kufikiri kidogo. Mkulu hapendi kabisa sherehe, alisema kama mtu anafanya sherehe ya kuapishwa, ajiandae kufanya sherehe ya kufukuzwa. lakini Bashite ni tofauti. Anaweza kusafiri kwenda nje, anaweza kufanya sherehe ya mwaka mmoja wa ukuu wa mkoa, kitu ambacho kinafanyika kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru wake. sijawahi kusikia mkuu wa mkoa anafanya sherehe ya mwaka mmoja wa ukuu wa mkoa, kwa kiwango hiki cha "kiserikali". Ila labda kama sherehe hii ni maalum kwa ajili ya kujifariji, kwamba alikuwa amekufa na sasa amefufuka. lakini kafufuka kweli? maana tuhuma dhidi yake ni nzito sana na hajawa na ubavu wa kuzikanusha.acha wivu ww