Boeing 757
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 288
- 612
Mimi sijawahi jutia kuwa Jf. Kuna vichwa humu vinatema madini muhimu sana kiasi kwamba unaanza kumtathmini huyu anayeandika hivyo kichwani huwa anawaza nini.
Kuna watu wana upeo wa kufikiri mbali sana ukiachana na wale vichwa panzi wao ni matusi kutokana na stress za maisha na msoto.
Binafsi mimi JF na JF ni mimi kutokana na watu unique with distinguished honor wanaopatikana humu pamoja na mawazo yao. watu wanaichukulia poa Hii forum lakini kupitia Hii nimepata majibu concentrated ,ambapo nisingeweza pata kwenye semesters za university .
Kwa kifupi JF kuna ma William Shakespears WENGI sana wewe sema wengi we're underestimate them... Mshana Jr kama nakuona vile
Kuna watu wana upeo wa kufikiri mbali sana ukiachana na wale vichwa panzi wao ni matusi kutokana na stress za maisha na msoto.
Binafsi mimi JF na JF ni mimi kutokana na watu unique with distinguished honor wanaopatikana humu pamoja na mawazo yao. watu wanaichukulia poa Hii forum lakini kupitia Hii nimepata majibu concentrated ,ambapo nisingeweza pata kwenye semesters za university .
Kwa kifupi JF kuna ma William Shakespears WENGI sana wewe sema wengi we're underestimate them... Mshana Jr kama nakuona vile