Mkuu deadbody kuna MTU aliyevunja record ya kihombo jamaa naambiwa alidisco akautolea review moja ya physics tumeipga sana enz izo kipnd cha misuli mirefuUDSM Telecom aka graduate 2015
Jamaa alinifundisha Olev nikiwa Kwa Mtata Mtatuzi.Mtata akasema nawaletea T.O wa form 6 awafundishe VECTOR...Hahahaha akazama mtaalamu wa MATH 'ELIAS KIHOMBO'.Jamaa anajua balaa ila tu MUHUNI SANAMkuu deadbody kuna MTU aliyevunja record ya kihombo jamaa naambiwa alidisco akautolea review moja ya physics tumeipga sana enz izo kipnd cha misuli mirefu
Ila nilisikiaga alirud kupga petroleum and gas sasa sijui kama kamaliza au bado
Inaweza tokea. Makosa madogo tu yanaweza sababisha. Ila mshikaji nimejifunza mengi kwake alipokuwa A level. Alikuwa anasoma sana japo uwezo alikuwa nao mkubwa. Alikuwa mkimya asiyekuwa na makuu. Mtaratibu na kwa kumwangalia huwezi amini kama ndoa alikuwa T O. Hongera kwake.T.O 2009 OLEV na akaingia TOP 10 FORM 6 MWAKA 2012 'GWAMAKA NJOBERO' alilamba SUP 'UDSM'
Kwaiyo mkuu mt161 ilikua haikupg chenga kutokana na basic uliyoipataJamaa alinifundisha Olev nikiwa Kwa Mtata Mtatuzi.Mtata akasema nawaletea T.O wa form 6 awafundishe VECTOR...Hahahaha akazama mtaalamu wa MATH 'ELIAS KIHOMBO'.Jamaa anajua balaa ila tu MUHUNI SANA
kama umepita udsm supp sio kitu cha kumcheka mwenzio,pale watu huwa wanaomba wagraduate tu hata kama watagradute na gentleman degree.Hahahaha Mkuu MUHAGACHI CHACHA aliniaga nyumbani akaniambia Deadbody tutapiga pindi week ijayo naenda kufanya mtihani chuo,kufuatilia KUMBE 'SUPPLEMENTARY NI SOMO KAMA SOMO LINGINE'
Nyanga za pale sio mchezo mkuukama umepita udsm supp sio kitu cha kumcheka mwenzio,pale watu huwa wanaomba wagraduate tu hata kama watagradute na gentleman degree.
nilisikia tetesi alipigaga interview havard wakamtema..za kweli?UDSM Telecom aka graduate 2015
GPA ya 4.6 SIO YA KAWAIDAShule moja ya Ipo kilimanjaro inaitwa agape jamaa alipiga 1.7 na A tisa, aude 1.9 A tano. GPA 4.8(wa kwanza chuo kizima) aude 4.6 ya kawaida
Sio tetesi ,jamaa nimekaa nae sana Banana.Kitu alichoshindwa ni kufaulu mtihani wa Computer.Siunajua adv hajasoma computer na interview alipewa computer afanye MAMBO..nilisikia tetesi alipigaga interview havard wakamtema..za kweli?
tatizo ambao hawajapita pale huwa wanadhani udsm bata tu..kumbe ni hatari.Nyanga za pale sio mchezo mkuu
Kuna kina nyahoro, bwire,shirima @ civil kina kina shine wadau wamechanical walikua wanalia hatartatizo ambao hawajapita pale huwa wanadhani udsm bata tu..kumbe ni hatari.
Nyanga kibao ila kitaa uku return yake ni vichekeshotatizo ambao hawajapita pale huwa wanadhani udsm bata tu..kumbe ni hatari.
Wenye akili sana class wakija kitaa wanatiwa kidole na mwisho wao huwa mbaya...ila wale division 3 au 4 ndo wala bata wakubwa. I am writing from my experienceDuuu si mchezo wape Habari wenye Habari zao,waendelee kukaza mtaani maana ndio vipanga haswa! I hope watakuwa wanafanya Kazi taasisi Kubwa kubwa kama TISS,UN,IMF,WB, etc
Sio kweliT.O 2009 OLEV na akaingia TOP 10 FORM 6 MWAKA 2012 'GWAMAKA NJOBERO' alilamba SUP 'UDSM'
Sio tetesi ,jamaa nimekaa nae sana Banana.Kitu alichoshindwa ni kufaulu mtihani wa Computer.Siunajua adv hajasoma computer na interview alipewa computer afanye MAMBO..
T.O hata button ya KUWASHA alikuwa haijui...
Halafu ndio HARVARD wamchukue KUPIGA telecom?