Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,889
- 2,215
Mnatuchanganya sasaIYUNGA TECH HIYO
Mwingine kadai anamjua alikuwa anakula Naye ugali geto jamaa alipiga forodhani o level wewe unasema
Iyunga tech
Kazi ipo
Mnatuchanganya sasaIYUNGA TECH HIYO
siyo raymond huyo mbona mnakua wabish sana!!!!
Mkuu wanaomjua Raymond Aidan wanasema sio huyo uliyemsema bali ni huyu na hajafa,je unasemaje hapa?
Huyu jamaa MUHAGACHI tulikaa nae HALL 6 UDSM room zinafuatana weekend naenda zangu AMBIANCE narud nakuta jamaa anakomaa na kitabu daahNzuri hiyo mkuu,mimi Huyu 'MUHAGACHI P CHACHA' Ndio alinishawishi kupiga ''PCM
Hao wa akina assenga inaonekana wako njema kwelikweli.... kuna jamaa mmoja anaitwa George v assenga alimaliza majengo o level alikuwa top ten mwaka 2008 nahisi nafasi ya saba akarudi tena pale majengo form six kwa combination ya EGM akaingia tena top 10 the same position hiyo ilikuwa 2011......
Hao wa akina assenga inaonekana wako njema kwelikweli.... kuna jamaa mmoja anaitwa George v assenga alimaliza majengo o level alikuwa top ten mwaka 2008 nahisi nafasi ya saba akarudi tena pale majengo form six kwa combination ya EGM akaingia tena top 10 the same position hiyo ilikuwa 2011......
Jamaa akaenda zake Liverpool university naskia kamaliza na GPA kubwa yupo Barclay bank analipwa milioni 7 zake kwa mwezi.... hatari sana hizo damu za assenga pia ana mdogo wake sijui ndugu yake yeye alimaliza marygoreth class 2012 EGM someone maria assenga nae akatia one yake ya point tano sasa nae akafuata nyayo za brother yupo liverpool university..... Nadhani kwa sasa atakuwa kamaliza......
Mkuu huyo assenga nae alikuwa moto wa kuotea mbali... Ila kwa wolfgang alikuwa vizuri pia sema ndio hivyo jamaa hakubahatika kumalizia ungwe ya pili form6 Je angeweza kutetea nafasi yake alioipata mwaka 2009.....pale majengo kuna jamaa mwingine alikuwa anaitwa sabas oisso mwaka 2007 alishika nafasi ya 7 kitaifa form 4, ila nahis sifa zilimzidia advance akapata grade ya kawaida, ila kwa pale Majengo sidhani kama kuna mtu atakuja kuvunja rekodi ya wolfgang seiya, cjui lakin theriogenology
kuna mpunga uko?Of course ni Taasisi KUBWA
Anaitwa Kihombo kama sijakoseaAnaitwa nani?