Kapendeza uzuri hatumii mkorogo huyu ni natural beauty
Black beauty huyu
View attachment 52052
Hivi huko dada zetu wanapoendaga kupambwa hakunaga vioo? hapo atamlaumu aliyempamba...kwani yeye alikuwa hajioni? angalia uso na mabega.......!!
mhh uyu atakuja kumomonyoka km maiko jakison....lol is t make up o?
yaani hapo ndio kapendeza mpaka mwisho ndio yuko hivyo, je ukimkuta wakati anaamka asubuhi, with no make up, no nothing si ni balaa hili jamani! na akifanyiwa oparation anashoneka kweli huyu??
Kuna maumbo mengine bana hata akae uchi sisimki wala kusimamisha ndo huyo wamapowder sasa
Kajitahidi anakoelekea sasa ni kwa sauda mwilimA.
mhh uyu atakuja kumomonyoka km maiko jakison....lol is t make up o?
ukiwa na njaa utasisimka
ajapendeza.
ana ngozi nzuri lakn nadhan ajiamin so anataka kujidabika km wenzake na ndio apo anapojiaribu..angebak NECHERAR ahh angekuwa bomba lakin ndo ivo tena KUTOKUJITAMBUA ni tatizo la kitaifa
Mi napenda figa lake hilo very mpododo
Mkorogo huo naona hata aliye muoa alipendezewa na mkorogo au weupe feki
hah hahha uwiiiiiiiiiiiiiiiii..nani?dina ana figa enhh?duh skujua jaman baas ata mimi nina figa:msela:
nampenda sana
ana saut
nayupo creative bt on figa issue mhh mhh:hail:tumuombe alah anaweza akafanya manuva ya 9 kuwa 8
lazima uyo mume pia awe FEK
cz FEK GOES WTH FEK
jaman mwachen dina marios wangu
alienda kufuta lakin ata mwenyewe alijishtukia....
kwanin upake poda?wanja? 2me noooooooooooooooooooooooooooooo.....oga fresh paka body care yako na kanguo kako kamenyoshwa then ahhhh mzuri wewe simpooooooooooooooooo ....mnajikandika madudu km udongowa mfinyaz ili iweje?
nw nw atamkuta mwilima....kijiuso km anachungulia dirishan(kwa ruhusa ya gea)