Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
Written za Big 4s Audit Firms yes, ila za makampuni mengine ni easy bro.
Broo, labda wewe ni wale Gifted.
Written za Big 4s Audit Firms yes, ila za makampuni mengine ni easy bro.
Umefanya jambo jema ila ningekua mimi ningetumia vigezo tofauti kidogo .Kama mmoja kati yao ameanza kujitegemea kwa maana amepanga na mwingine anaishi kwao, basi yule anayeishi mwenyewe(anajitegemea) angepita bila kupingwa.
In every general rule there is exceptionNiccolo Machiavelli, Wewe siyo HR, na kama ni HR huna ethics za taaluma yako.
HIV bado mnauliza yale maswali ya kwenye google?Hayo maswali yangekua personal sana!
Umeambiwa hao wote wawili walifika final na walikuwa na sifa wote tofauti ni mmoja alikuwa na kigezo cha ziada ambacho mimi binafsi naona hakimtofautishi sana na mwenzie. Unawezaje kusema hana uwezo? It's not like alichukua CV zote za waliotuma maombi then akachagua mwenye umri mkubwaNinyi ndio mnaua makampuni/mashirika kwa kuajiri watu kwa kuwahurumia.
Kampuni Haiwezi Kuajiri Mtu Kwa Kuwa Ana Shida, Umri Umeenda Au Atatue Shida Zake.
Wala Kampuni Haiajiri Watu Kwa Lengo La Kujaza Nafasi.
Mtu Yeyote Hata Kama Yukoje Au Ana Elimu Gani, Kama Anaweza Kutatua Kile Ambacho Kampuni Inakitaka, Ndio Anastahili.
Ndio Maana Makampuni Makubwa Kama Google, Facebook, Safaricom, Clouds Media, VodaCom Hawana Muda Na Degree Siku Hizi.
Kwani huyo wa 92 hajaqualify????kasema wote wamekidhi vigezo ila sifa za ziada ndio zimewatofautisha .Imagine ungekuwa wewe ni owner wa kampuni, unahitaji aliyequalify au unayemhurumia.
Watu wamekazana kupinga kuonyesha wamesoma na wanajua ethics za kazi za HR bila kusoma point yake muhim kwamba wote waliqualify the jobKwani huyo wa 92 hajaqualify????kasema wote wamekidhi vigezo ila sifa za ziada ndio zimewatofautisha .
Jamaa kafanya vema